Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

na one more question
hivi hawa walinzi wa viongozi aka ma bodyguards wanalipwa kama kiasi gani???
kwa hapo bongo najua fika tutapewa jibu moja tu kuwa ni habari za usalama wa taifa je kwa nchi zingine mwajua figure hawa watu hulipwa?maana huko it seems they give all details za mambo hayo bila vificho

maana i was thinkin why iwe hard kuwa fanya hao watu wa betray kazi yao?as kama wakihongwa fedha mara kumi ya mshahara wao lets say wanalipwa laki moja wakipewa tu milioni kadhaa kweli wanashindwa danganyika?

USSS starting salary ni GS-10 with benefits so unaangalia kuanzia $70K-90K kwa mwaka. Baiskeli ni za walinzi wakati Bush akiendesha baiskeli yake
 
Hivi idadi ya security detail ya Bill Clinton ni ngapi? Mama naye anao wangapi?

presiDM0410_600x397.jpg


May be 20-30 who knows.
 
Iran
344695711.jpg

344695713.jpg


...mnh, hawa 'wapambe' wa viongozi wa Iran na Israel mbona shoving and pushing zimekuwa nyingi hivyo? kwetu atayejitia mfanyia Luteni kanali mstaafu hayo ajue kibarua chake kinaota majani !

Hizo picha za Israel ilikuwa baada ya polisi kujipiga risasi ya kichwa uwanja wa ndege wakati wanamuaga Sarkozy...hii ya Ahmadenijad ilikuwa ni kwenye maadhimisho ya sikuku walikuwa wanamzuia asidondoke.
 
Some Pics za USSS Command Center wakati wa Convention(Democrat)
*FPOTUS=Former President of United States
*FFLOTUS-Former First Lady of United States
345673066.jpg

345673087.jpg

345673075.jpg

345673079.jpg

A three-dimentional tabletop map stands before an eight-foot by eight-foot video screen displaying a map of downtown Denver during a news media tour of the United States Secret Service's Denver Multi Agency Communications (Command) Center August 22, 2008 in Denver, Colorado.

345673083.jpg

A wall chart keeping track of former U.S. Presidents Bill Clinton and Jimmy Carter and former first ladies Sen. Hillary Clinton (D-NY) and Rosalynn Carter hangs on the wall of the United States Secret Service's Denver Multi Agency Communications (Command) Center
 
Tujikumbushe kidogo

As noted in the Obama- and Hillary-Protect series, their Secret Service candidate-protective agents hold their hands at waist height, particularly in crowds, but also when standing guard. Presumably this allows quick action against hands of attackers or to draw weapons. Do other protective and/or law enforcement officers use this hand positioning?

A quick comment on your question about the hands position of the SS agents. I have worked as a bodyguard in Japan for a long time. This was one of the first lessons I received from people I was working with: when escorting the principal through a crowd of people who are expecting him and engaging in contact with him (shaking hands, asking for an autograph, etc.), you hold your hands somewhere around the level of your lower ribs, like in this picture
2qanz0x.jpg

or the guy in the background (between Hillary and the black lady)
102njv9.jpg


Reason for this is that if there's a stabbing attempt or something similar you can quickly react and slap/push down the attacking arm quickly, without having to waste precious moments on raising your own arms and then changing the direction of movement of your hand (losing more time) and pushing theirs down. In most of other pictures, where the hands are at the general hip level, it's just a regular 'ready for action' stance.
 
Tunaomba mtuwekee ya Tanzania,Kenya, Uganda, Rwanda,Burundi na DRC

ya tz?????dream on musee wataka JF yetu ifungiwe kabsaa?

utaambiwa its against usalama wa taifa n if u have noticed kwenye ile ya zamani kulikua na hadi picha za muungwana na wa zenji iliporudishwa hii thread na ku editiwa picha zoote za bongo zimetolewa ikiwemo hata zile za bush alipokuja tz if m nt mistaken
 
Counter Assault Team au CAT kama wanavyojulikana[Soma hapa], ndani ya bongo wakati Bush yuko Tanzania.
346278218.jpg

346278222.jpg

Hao niliowawekea blue arrows ni watanzania? Naona gari la CAT liko nyuma ya Bush na Kikwete.
 
Counter Assault Team ya Obama.
**Picha ya chini kabisa ni jamaa wa team ya Bush.
345524271.jpg

345520565.jpg

345520548.jpg

345520517.jpg

345520509.jpg

345520592.jpg

345520599.jpg

The Counter Assault Team (CAT) typically operates in heavily-armed, five-man teams that augment an existing protective detail. In the event of an assault, their purpose is to engage the attacker(s) while the protective detail evacuates their principal to safety. Out of the generally 35 vehicles in the Presidential motorcade, anywhere from 2 - 6 vehicles may contain CAT members, depending on the threat level that day. The purpose of a CAT is not to win a firefight, but to completely overwhelm the enemy right up until the point where the protectee has escaped. After that, a local SWAT team (also travelling with the motorcade) will take over.

Nafikiri kampuni ya nguo ya UNDER ARMOUR wanapata chati sana kwa hizi picha kwa sababu marketing strategy yao ni foot wear na clothes kwa tough people...eg. Marines na NFL players.
 
SECRET SERVICE wetu wa TANZANIA ni hawa hapa jana wakati wa sherehe za Uhuru pale TAIFA

DSC_7108.jpg


DSC_7100.jpg


DSC_7093.jpg



NAONA wamejaa vitambi vya BIA tuuuu
 
SECRET SERVICE wetu wa TANZANIA ni hawa hapa jana wakati wa sherehe za Uhuru pale TAIFA
NAONA wamejaa vitambi vya BIA tuuuu

-Commander In Chief
-Chief of Defence Force
-Aide-de-camp
**Je,Huyo bwana mwenye suti ni Chief of Protocol au???-msaada kwenye tuta.
 
sio vitambi vya bia tu,bali na kushow off kwingiiiiii!kama hiyo kuninginia kwenye gari nyuma...aint dat important at ol!anyways my one n only wish kwa hawa watu wa itifaki ni siku litokee la kutokea tuone watakavyo respond kama sio wengine kutapika ze lagaz n dagaaz!
 
610x.jpg


Dibas naye wamo...Na hapo chini ni security bunker ya Bush...Nadhani huko white house...Akiingia humo basi.

security%20president%20bush%20bunker%20accommodations%20hotel%202007%20news%20white%20house%20com.jpg
 
610x.jpg


Dibas naye wamo...

Thanks for pic, mkuu mzee wetu huyu!


At least ulinzi wake sio complicated wa kawaida watu wasimsumbue, mzee hana shida na mtu,marais wote wenye matatizo ndiyo wanakuwa na mabodyguard mpaka washingrooms no maliwatoni!
 
SECRET SERVICE wetu wa TANZANIA ni hawa hapa jana wakati wa sherehe za Uhuru pale TAIFA

DSC_7108.jpg


DSC_7100.jpg


DSC_7093.jpg



NAONA wamejaa vitambi vya BIA tuuuu

Hehehe, kuna mtu nimemuonyesha hizi picha comments alizonipo nimeona aibu kiaina.....!!!
 
Back
Top Bottom