Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Waswahili husema ulemavu mbaya ni wa akili wakiwa na maana kwamba ukiwa chizi/taahira hutoweza kufanya jambo lolote la maana maisjani japo viungo vyako vitakuwa vinafanya kazi
Sasa tuwaangalie walemavu wa macho walioweza kufanya mambo makubwa na kudhihirisha kwamba kuwa mlemavu sio mwisho wa maisha
............................................. . . ...... .
10 Doc Watson
Alizaliwa mwaka 1923 na kufariki dunia 2012 akiwa na umri wa miaka 89
Huyu alikuwa ni msanii wa muziki licha ya kuwa kipofu(sijui hili neno ni tusi)
Alikuwa ni mwimbaji na mpiga gitaa mahiri
Wazazi wake wamechangia mafanikio yake maana hawakumtenga wala kumficha
Kaimba ngoma kibao kama vile Sitting On Top Of The World
Sasa tuwaangalie walemavu wa macho walioweza kufanya mambo makubwa na kudhihirisha kwamba kuwa mlemavu sio mwisho wa maisha
............................................. . . ...... .
10 Doc Watson
Alizaliwa mwaka 1923 na kufariki dunia 2012 akiwa na umri wa miaka 89
Huyu alikuwa ni msanii wa muziki licha ya kuwa kipofu(sijui hili neno ni tusi)
Alikuwa ni mwimbaji na mpiga gitaa mahiri
Wazazi wake wamechangia mafanikio yake maana hawakumtenga wala kumficha
Kaimba ngoma kibao kama vile Sitting On Top Of The World
Last edited: