Wakuu hivi league ya NBC IPO ama imefutwa

uhurumoja

JF-Expert Member
Mar 2, 2014
5,941
11,043
Wakati league zingine zikipamba moto duniani kule Ujerumani wakijiandaa kuandika historia baada ya kijana aliyeishi viunga vya bayern Munich na kuiba mbinu zao akiwapa Bayer Leverkusen kombe gumu kabisa la bundesliga na pale Uingereza Klop anataka aondoke kwa heshima mambo ni tofauti hapa kwenye league ya karia na kasonzo wazee wa "unajuwa"league ni kama haipo tena IMELALA IMEKWAMA na hakuna mechi Wala tetesi za mechi hii league vipi!?
 
Wakati league zingine zikipamba moto duniani kule Ujerumani wakijiandaa kuandika historia baada ya kijana aliyeishi viunga vya bayern Munich na kuiba mbinu zao akiwapa Bayer Leverkusen kombe gumu kabisa la bundesliga na pale Uingereza Klop anataka aondoke kwa heshima mambo ni tofauti hapa kwenye league ya karia na kasonzo wazee wa "unajuwa"league ni kama haipo tena IMELALA IMEKWAMA na hakuna mechi Wala tetesi za mechi hii league vipi!?
ipo,
na baada ya mapumziko haya ya Pasaka NBC ligi itaendelea tena kuanzia tar 5.04.2024 🐒

ni🔥
 
ipo,
na baada ya mapumziko haya ya Pasaka NBC ligi itaendelea tena kuanzia tar 5.04.2024 🐒

ni🔥
Sawa ila haya mapumziko ya mda mrefu yanaathiri sana team hasa upande wa fitness team zinalazimika kuwa na friend match ambazo hupelekea gharama za kuendesha team kuwa kubwa
 
Sawa ila haya mapumziko ya mda mrefu yanaathiri sana team hasa upande wa fitness team zinalazimika kuwa na friend match ambazo hupelekea gharama za kuendesha team kuwa kubwa
bilashaka technical benches wa team zote za ligi, wako na walikua chonjo sana na hilo.
na hata hivyo mapumziko haya ya pasaka ni ya ligi tu na sio mazoezi na ratiba za team shiriki 🐒
 
bilashaka technical benches wa team zote za ligi, wako na walikua chonjo sana na hilo.
na hata hivyo mapumziko haya ya pasaka ni ya ligi tu na sio mazoezi na ratiba za team shiriki 🐒
Kwa uzoefu wako katika masuala ya michezo unadhani hili ni jambo zuri kuwa na mapumziko marefu kiasi hiki!?
 
bilashaka technical benches wa team zote za ligi, wako na walikua chonjo sana na hilo.
na hata hivyo mapumziko haya ya pasaka ni ya ligi tu na sio mazoezi na ratiba za team shiriki 🐒
Binafsi nadhani weekend palipaswa kuchezwa mechi kadhaa za ligi lakini pia Leo mechi kadhaa zilipaswa kuchezwa
 
hapa katikati mchakamchaka ulikuwa mpana acha wapumzike halafu si unajua tena sisi wa yanga azam alitubonda na akafumua baadhi ya wachezaji wetu!,azam ana roho mbaya kama mzimu vile..😂
 
hapa katikati mchakamchaka ulikuwa mpana acha wapumzike halafu si unajua tena sisi wa yanga azam alitubonda na akafumua baadhi ya wachezaji wetu!,azam ana roho mbaya kama mzimu vile..😂
Ana roho mbaya sana Ile game yake ilitugharim sana ila wengine wangeendelea sema sio kesi acha wapumzike ila binafsi naona sio afya pre season watapumzika kwa Sasa waingie uwanjani wacheze sio baadae mechi zinachezwa kwa mbanano hadi shida
 
Binafsi nadhani weekend palipaswa kuchezwa mechi kadhaa za ligi lakini pia Leo mechi kadhaa zilipaswa kuchezwa
zingatia pia hali ya kiuchumi ya vilabu vyetu, hususani vyenye wachezaji waloenda kutumikia timu zao za Taifa, kuwatumia ticket ni issues sana ujue 🐒

TFF imewapa vilabu fursa ya muda wa kutosha kujitafuta kiuchumi ili tukianza ngwe ijayo pasiwepo mbambamba yoyote mpaka mwisho wa ligi 🐒
 
zingatia pia hali ya kiuchumi ya vilabu vyetu, hususani vyenye wachezaji waloenda kutumikia timu zao za Taifa, kuwatumia ticket ni issues sana ujue 🐒

TFF imewapa vilabu fursa ya muda wa kutosha kujitafuta kiuchumi ili tukianza ngwe ijayo pasiwepo mbambamba yoyote mpaka mwisho wa ligi 🐒
LookBinafsi nadhani kuchelewa huku ndio kunaongeza mzigo zaidi maana wachezaji wanatafutiwa mechi za kirafiki ili team isipoe hali inasababisha gharama za ziada
Lakini league ikianza kwa kubanana ndio pale unakumbuka kagera alicheza kigoma na ndani ya siku mbili akacheza mbeya ili kufukuzana na ratiba iliyobanana kitu ambacho tulikiona kwa Yanga pia
 
Back
Top Bottom