Wakongwe Filbert Bayi na Juma Ikangaa Vitu viwili tofauti

Melubo Letema

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
318
295
38b091ba-b3e5-4ac1-bc9b-9331220cf158.jpeg


Kushoto ni mwanariadha mkongwe wa zamani Juma Ikangaa (280) na kulia ni mwanariadha Mkongwe Filbert Bayi (331);

Ukiwaangalia kwa haraka kwenye picha utadhani ni marafiki , Ila wapo tofauti kabisa; Juma Ikangaa ni mpinga rushwa na hapendi vitu vya dhulma swala tano kabisa,

ila Filbert Bayi ni mla rushwa na amejimilikisha mali za wanariadha, ni fisadi , anapokea pesa za wahisani wa kati ya olimpiki ya dunia; na anahonga Serikali ili kusafisha mambo yake, anapenda rushwa yeye na mwenyekiti wake mzanzibari. Eneo la michezo la mkuza , ilitakiwa iwe kituo cha wanamichezo wote , Ila amekigeuza chake na anachuma pesa kupitia pale.

kila waziri anaeingia madarakani hawamgusi , wala hawachunguzi tuhuma zake.
 
Ukiwa fisadi Tanzagiza ukifungwa ujue wewe ni mbinafsi.

Ufisadi wa Tanzania ukitaka utoke salama tengeneza ka chain kako ka upigaji utainjoi mpaka unakufa.
ukiwa na chain utakula rushwa hadi mwisho wa maisha yako...
 
Back
Top Bottom