Wahamie siyo waamieHao watalii waamie Zanzibar!
Wakazi wa Canary Island Wanasema watalii wamesababisha maisha magumu Kwa wenyeji .Kila Kona mahoteli ya kitalii na sehemu za kustarehe watalii Bei za maisha zimepanda kuanzia gharama za kupata viwanja vya kujenga makazi,Vyakula na vinywaji na usafiri Kwa wazawa maisha hayakamatikiKwa hiyo hawataki fedha?Maana mtalii Anakuja na kuondoka
Ndio kinatokea ZanzibarWakazi wa Canary Island Wanasema watalii wamesababisha maisha magumu Kwa wenyeji .Kila Kona mahoteli ya kitalii na sehemu za kustarehe watalii Bei za maisha zimepanda kuanzia gharama za kupata viwanja vya kujenga makazi,Vyakula na vinywaji na usafiri Kwa wazawa maisha hayakamatiki
AsanteNdio kinatokea Zanzibar
Uko sahihiWana Mbuga za Wanyama? huwa nasema kila siku, Utalii wa kuangalia Tembo ni utalii unao vutia watu wachache sana
Utasikia ooooh tuna mlima mrefu tuna mlima mrefu 😄Wana Mbuga za Wanyama? huwa nasema kila siku, Utalii wa kuangalia Tembo ni utalii unao vutia watu wachache sana
unadhani zanzibar wataweza kuhimili hii? Hapa issue ni sustainability. Nenda Zanzibar hivi sasa wakati watalii siyo wengi hata hivo na uone kwenye beach kama za Jambiani - beach erosion imeanza kwa kasi.Hao watalii wahamie Zanzibar!
Sina passport mkuu!!.. . Nenda Zanzibar hivi sasa ...
Kisiwa Cha Canary Island Wana population sawa na Zanzibar ya wazawa .Wanalingana Zanzibar ipokee watalii milioni 16 na miundo mbinu ya uwekezaji ya kupokea watalii milioni 16 kama Canary Island watakimbia Zanzibar kukimbilia Tanzania bara huku wakilia kama mbwa kuwa tunataka muungano wa nchi moja ili waje bara kwenye unafuu wa Maisha wawe wakohani au wamakunduchi au wapemba .Wataikimbia Zanzibar uchi mchana kweupe kutafuta Maisha nafuu baraunadhani zanzibar wataweza kuhimili hii? Hapa issue ni sustainability. Nenda Zanzibar hivi sasa wakati watalii siyo wengi hata hivo na uone kwenye beach kama za Jambiani - beach erosion imeanza kwa kasi.
Nakuona kama unaota vile!Ndipo warajua kuwa Nyerere kutaka muungano alikuwa anawahurumia wao.
Yajengwe mahoteli Zanzibar ya ku accommodate watalii milioni 16 Kwa mwaka kama Canary Island kama bara hakujajaa hao wapinga muungano wakipiga magoti kulia kwenye kaburi la Nyerere kuomba msamaha kuwa tusamehe tumejua ulianzisha muungano kutuhurumia waja wako tusiojielewa wazanzibari tuombee na huko Kwa Allah atusanehe
Kibongo bongo mtu akisikia utalii anaanza kuwaza mapori na wanyama.Wana Mbuga za Wanyama? huwa nasema kila siku, Utalii wa kuangalia Tembo ni utalii unao vutia watu wachache sana