Wajuzi: Ni kweli treni ina sumaku ya kuvuta gari linapopita karibu yake au ni hofu ya dereva?

cleokippo

JF-Expert Member
Dec 21, 2014
2,074
1,706
Siku za hivi karibuni imetokea ajali ya treni mkoani Morogoro, ajali hii imehusisha basi dogo aina ya coaster linalofanya safar zake Kihonda - Mjini na treni la abiria linalofanya safari za Dar - Mwanza.

Sasa kumekuwa na maneno mengi sana midomoni mwa watu kuwa treni ina sumaku ambayo inapelekea kulivuta gari mara tu linapopita karibu yake na hivyo kusababisha hizo ajali na yapo maneno ya watu wengine yanasema kwamba hofu ya dereva wa gari ndio inayosababisha ajali.

Sasa nilitaka kujua kwa faida yangu na watu wengine! Ni kweli kwamba treni ina sumaku ambayo husababisha gari kuzima na kuligonga au hofu ya dereva ndio inayosababisha gari kugongwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli ndugu yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli bwana gari moshi magurudumu yake yana rridge upande wa ndan ili kuzuia yasitoke off the railway track.
Hakuna cha sumaku wala nini na halafu cast iron na sumaku si washikaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
:D:D:D:D:D:D nakuona tu unawalisha wenzio matango pori
 
Siku za hv karibun imetokea ajali ya tren mkoan Morogoro, ajali hii imehusisha bas dogo aina ya costa linalofanya safar zake kihonda - mjin & tren la abiria linalofanya safar za Dar - Mwanza, sasa kumekuwa na maneno mengi sana midomon mwa watu kuwa tren inasumaku ambayo inapelekea kulivuta gar mara tu linapopita karibu yake na hivyo kusababisha izo ajali na yapo maneno ya watu wengine yanasema kwamba hofu ya dereva wa gari ndio inayosababisha ajali ..... sasa nilitaka kujua kwa faida yangu na watu wengine! ni kweli kwamba tren inasumaku ambayo husababisha gar kuzima na kuligonga au hofu ya dereva ndio inayosababisha gar kugongwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
treni haina usumaku wowote ule
sema ni uzembe tu wa madereva katika kuvuka hizo railway cross huwa wanajisahau sana kuangalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka wao wanapita tu
majuzi tu hapa hapa moro tumezika bodaboda kagongwa na treni
ndo maana unaambiwa gari/pikipiki ndio inagonga treni na sio kinyume chake
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ila umejitahidi kujifikiria,hongera sana afadhali yako wewe umejaribu.

Nimetazama quora kuna mechanic expert kasema hv
This is likely a Venturi effect. As you got close to the train, the air velocity (locally) was much higher. The air right next to the train is traveling at approximately the same speed as the train (no-slip boundary condition). As the air velocity goes up, the local static pressure goes down (conservation of energy). The lower static pressure near the train was likely pulling you in. This is basically the same principle that's used to suction fluid up in eductors.
Thanks
 
Jib ni kua,utofaut wa pressure baina ya nje ya train na ndan mule ya mataruma wakat inakimbia,ndio inayosababisha huo uvutano,..mfano mdogo tuu nikupe,..chkua chupa ya soda au bia,ambayo empty or wateva,ifyonze bila kuachia hewa kutoka,utaona lips na ulim kama vinanasia kwenye mdomo wa chupa,ndo hvyo sasa kinachotokea,so hata mtu akiwa karib sana na reli pind train inapopita kwa kasi,anaeza jishangaa amefyonzwa ndani ya reli chin kule,..so sio sumaku.
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh hii hata kinyume chake tu haifiti mkuu.

SIJUI KESHO.
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmhhh?????? Eti umesemaje mwalimu?
 
Dah ila umejitahidi kujifikiria,hongera sana afadhali yako wewe umejaribu.

Nimetazama quora kuna mechanic expert kasema hv
This is likely a Venturi effect. As you got close to the train, the air velocity (locally) was much higher. The air right next to the train is traveling at approximately the same speed as the train (no-slip boundary condition). As the air velocity goes up, the local static pressure goes down (conservation of energy). The lower static pressure near the train was likely pulling you in. This is basically the same principle that's used to suction fluid up in eductors.
Thanks
Ok lakini hiyo ina apply mtu au kitu kikiwa pembeni but karibu ya like garimoshi .kesi yetu hapa train inakuja gari liko kulee mbele si train wala hiyo hewa haija fika lakini gari liko pale limeshindwa kutoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
!! Nice try!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
this is due to suction effects
Tren ili iweze kupita kwenye reli magurudumu yake yana unatisho wa sumaku.

Sasa nguvu hii ya usumaku hupokelewa na mataruma tren inapokuwa karibu. Ndio maana mita 500 hutakiwi kuwa kwenye hayo mataruma

Gari Lina magurumu ya mpira lkn rim ni cast iron hivyo hupokea nguvu ya usumaku kirahisi sana na kufanya gari kuwa mzito lisiweze kuvuka reli Adi tren ipite

Sent using Jamii Forums mobile app
ukipata mda pitia concept za suction effect
 
Back
Top Bottom