Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Umewahi kuombwa assist na msela fulani hivi aitwaye Rainyundo ? kama tayari kausha tu aisee ..........
Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujanjujanja umemponza na huo ndo umekuwa kama mwisho wa ID yake
Tapeli ni tapeli tu haijaishi iwe alidanganya,alikopa,alitoa tiba feki, n.k .....
Wazee wengine matapeli wa humu JF wanaotajwatajwa sana ni Mzizi uliokauka i,Kelvin Isaisa,na Mtu mwepesi
Kitaifa tunaye Dr Manyaunyau
Mwizi ni mwizi tofauti kati ya tapeli na jambazi ni kwamba tapeli anatumia akili na maneno matamu kudanganya watu wakati jambazi anatumia nguvu na silaha kupora
Sasa tuwaone wazee kumi maarufu wa kupiga assist enzi hizo yaani matapeli/wadanganyifu
Naandika kiufupi zaidi maana nikiandika kinagaubanga tutakesha bure
..........................................................................
10/Bernard Cornfield
Alizaliwa mwaka 1927
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...
Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndio akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengeneza marafiki humu Jf kea kumchangamkia karibu kila mtu...... Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungua kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa mwaka 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
9/Robert Hendy--Freegard
Ni
Mwingereza aliyezaliwa mwaka 1971
Huyu jamaa aliwapiga Waingereza wengi assist kwa kujifanya ni jasusi wa M15 Scotland Yard yaani tuseme sawa na mbongo ajifanye ni Mwanausalama wa Taifa
Jamaa alikuwa anafanya biashara ya kuuza magari na kutumia mwanya huo kukutana na wateja kisha kuwatapeli kwa kujifanya ni mtu wa M15 Scotland Yard
Hakuishia hapo tu alitafuta hadi demu wa kujifanya mkewe na kupiga nae pesa kimagumashi
Aliwekewa mtego na kunaswa mwaka 2002 baada ya Scotland Yard kushirikiana na FBI kumsaka na kumtia mbaroni na kuwa maarufu ghafla ulimwenguni
8/James Hogue
Alizaliwa 1959
Huyu bwana alifanya udanganyifu wa vyeti ili asome Princeton University kama alichofanya Daudi Bashite huku bongo ila huyu mzungu ndo kiboko
Kwanza kabisa alitengeneza/iba vyeti vya marehemu wa miaka 16 aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari huko Nevada kisha akajifanya pia ni yatima kwa vyeti vingine na kufanikiwa kugusa "Mlimani" tena kwa kusoma kwa ufadhili kama mtoto yatima na hivyo kupiga assist sehemu kibao
Ila hauridhika kwani mwaka wa kwanza tu akaharibu baada ya kuiba baiskeli hivyo mwisho wa siku utambulisho wake halisi ukagundulika mwaka 1991
7/Eduardo de Valfierno
Huyu ni tapeli wa Kiargentina
Huyu bwana ndiye aliyefanikisha kuibiwa kwa picha maarufu iliyochorwa na nguli Leonardo Da Vinci iitwayo Monalisa
Alijifanya yeye ni Marquis na kisha kuwatafuta watu na kuwalipa halafu wakaiba picha ikiwa Makumbusho mwaka 1921
Baada ya aliyemtuma kuiba na kusepa huyu jamaa akala kamisheni na watunzaji wa makumbusho na kutoa kopi 6 za picha hiyo
Na msala ulikuwa mrefu kiasi ni ngumukjuuelezea wote
6/Soapy Smith
Alizaliwa nchini Marekanimwaka 1860
Alikuwa ni msanii,tapeli na pia alimiliki genge lililokuwa lokijihusisha na Organised Crimes nchini humo
Umaarufu wake wa kitapeli ulitokana na kubuni na kuanzisha biashara iitwayo "tripe and keister" katika kona zenye msongamano mkubwa wa watu mtaani kisha kuuza keki za sabuni(keki feki zilizotengenezwa kwa sabuni) na kukusanya makumi kwa mamia ya watu kisha kuanza ujanjaujanja wapromosheni
Pia alisubiri watu wakusanyike kwa wingi na kuwatapeli kwa mbinu za maneno matamu yaliyotukuka
ila mwisho wa siku aliondoka na mpunga mrefu
5/George Parker
Alizaliwa mwaka 1870
Huyu ni mmoja wa tapeli maarufu katika historia nchini Marekani ....alifanikiwa hadi kuwatapeli watalii kwa kuwauzia mji(ardhi) ya jiji la New York
Hakuishia hapo, alifanikiwa kuliuza daraja maarufu la Brooklyn Bridge mara mbili kwa wiki kwa kipindi cha miaka kadhaa
Alifanikiwa kuwatapeli watu kibao pia kwa kuwauzia Madison Square Garden na utapeli mwingine kibao ambao naweza kujaza page nzima hapa
Baada ya kuisumbua sana New York alikuja kukamatwa na kutupwa jela maisha
Huyu kwangu ndo tapeli mahiri kuwepo nchini Narekani
4/Victor Lustig
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1890 na kufariki dunia 1947
Alikuwa ni tapeli maarufu ....alifanya utapeli mwingi ikiwemo kuwauzia wasafiri ndani ya meli viboksi feki vya kutengenezea pesa(money print) alivyovitengeneza kwa ustadi mkubwa
Alikuwa na maneno matatu,mtu snart kimavazi, mjanjamjanja
Tukio lilimpaisha zaidi ni alipofanikiwa kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa wa chuma kwa kuwauzia mnara wa Paris Paris Elffel Tower mara mbili kwa kuwapa tenda feki ya kuubomoa ili wachukue vyuma chakavukiasi kwamba walipogundua wametapeliwa waliona aibu hata kutangaza kwamba jamaa kawapiga assist.....ilikuwa ni aibu kwa watu wa hadhi yao
Jamaa alikuwa na kanuni yake maarufu ya utapeli(kutolewa,kuwa smart,kutokuwa mwongeaji kupitiliza)
Kanuni hii hadi leo matapeli wabobezi wanaitumia
3/Joseph Well
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1877 na kufariki dunia 1975
Alikuwa ni tapeli maarufu karne ya 20....kafanikisha utapeli kkibao ukiwepo wa USD 8 Milioni
Alikuwa akikusanya madeni pamoja na wafanyakazi wenzake kisha kuweka kitu kibindoni kidogo kidogo pamoja na kutoa risiti fe
ki Jamaa alikuwa bonge la tapeli kiasi akiwa kitaa alikuwa akibadili jina karibia kila siku mara Dr fulani, mara sijui mchungaji
Keshatapeli watu kibao ikiwemo kujifanya mwekezaji wa kampuni kubwa ya bisshsra ya mafuta na kujiingizia mabilioni ya pesa
2/Charles Ponzi
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1882 na kufariki dunia 1949
Alikuwa ni mhamiaji/mzamiaji wa Kitaliano aliyeishi nchini Marekani na kuwa miongoni mwa matapeli wakali wa muda wote duniani
Usishangae umaarufu wa neno Ponzi kwenye Make Money Fast Schemes kwenye mitabdao ya kijamii....ni sababu ya huyu tapeli
Ukiitwa Ponzi pigana......
Ni msomi wa Chuo Kikuu kutoka Rome nchini Italia ila akatumia maarifa yake kuwapiga watu assist/utapeli wa kufa mtu ....amewahi kufanya kazi nchi nyingi na kuishia kuachishwa kazi kutokana na utapeli mfano alianza kufanya kazi mgahawani Marekani ila akaachishwa kutokana utapeli dhidi ya wateja
Huyu ni tapeli wakimataifa
1/Frank Abagnale
Alizaliwa mwaka 1948
Alikuwa ni msanii,tapeli wa risiti(cheque) n.k
Miaka ya 1960's alifanya bad cheques katika nchi mbalimbali duniani kwenye mabenki makubwa zenye thamani ya USD 2.5 Milioni
Hii ni filamu inayoelezea madudu ya cheki feki aliyoyafanya
Utapeli mwingine maarufu ni alipotengeneza "pay in slip" feki ya akaunti ya bank na kufanikiwa kuiba USD 40,000 na fasta kuingia
Tapeli huyu alisifika kwa kupenda vimwana hivyo kufikia hadi hatua ya kujifanya ni rubani kwa kuvaa mavazi ya kirubani na kufoji kitambulisho cha shirika kubwa la usafiri wa anga duniani
.
.
Mwisho
The Bitoz
Jamaa alikuwa na marafiki wengi humu JF Ila ujanjujanja umemponza na huo ndo umekuwa kama mwisho wa ID yake
Tapeli ni tapeli tu haijaishi iwe alidanganya,alikopa,alitoa tiba feki, n.k .....
Wazee wengine matapeli wa humu JF wanaotajwatajwa sana ni Mzizi uliokauka i,Kelvin Isaisa,na Mtu mwepesi
Kitaifa tunaye Dr Manyaunyau
Mwizi ni mwizi tofauti kati ya tapeli na jambazi ni kwamba tapeli anatumia akili na maneno matamu kudanganya watu wakati jambazi anatumia nguvu na silaha kupora
Sasa tuwaone wazee kumi maarufu wa kupiga assist enzi hizo yaani matapeli/wadanganyifu
Naandika kiufupi zaidi maana nikiandika kinagaubanga tutakesha bure
..........................................................................
10/Bernard Cornfield
Alizaliwa mwaka 1927
Alikuwa mfanyabiashara na mzee wa bima aliyewekeza Marekani...
Alizaliwa nchini Uturuki na alipoingia Marekani akaanza kifanya kazi za kijamii Social Worker hapo ndio akatengeneza jina lake kama msela Rainyundo alivyoanza kwa kutengeneza marafiki humu Jf kea kumchangamkia karibu kila mtu...... Ilikuwa ni miaka ya 1850
Alifanya utapeli mwingi ila anakumbukwa zaidi baada ya kufungua kampuni nchini Canada iitwayo International Overseas Service(IOS) ila ofisi akaweka Geneva Uswis yaani amesajili kampuni huku halafu biashara anafanya kule halafu hapohapo anapiga mpunga pia huko Ufaransa kwa kampuni hiyohiyo moja ni km mkasa wa Richmond huku Bongo
Akapiga mkwanja mrefu kijanjajanja ila akadakwa mwaka 1973 na kutumikia miezi 11 jela huko Uswis ila akaachiwa huru baada ya kulipa USD 600,000 baadaye na kuishia kuishi maisha ya kawaida tu na mwisho wa siku akafariki dunia 1995 nchini Uingereza kwa kiharusi
9/Robert Hendy--Freegard
Mwingereza aliyezaliwa mwaka 1971
Huyu jamaa aliwapiga Waingereza wengi assist kwa kujifanya ni jasusi wa M15 Scotland Yard yaani tuseme sawa na mbongo ajifanye ni Mwanausalama wa Taifa
Jamaa alikuwa anafanya biashara ya kuuza magari na kutumia mwanya huo kukutana na wateja kisha kuwatapeli kwa kujifanya ni mtu wa M15 Scotland Yard
Hakuishia hapo tu alitafuta hadi demu wa kujifanya mkewe na kupiga nae pesa kimagumashi
Aliwekewa mtego na kunaswa mwaka 2002 baada ya Scotland Yard kushirikiana na FBI kumsaka na kumtia mbaroni na kuwa maarufu ghafla ulimwenguni
8/James Hogue
Alizaliwa 1959
Huyu bwana alifanya udanganyifu wa vyeti ili asome Princeton University kama alichofanya Daudi Bashite huku bongo ila huyu mzungu ndo kiboko
Kwanza kabisa alitengeneza/iba vyeti vya marehemu wa miaka 16 aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari huko Nevada kisha akajifanya pia ni yatima kwa vyeti vingine na kufanikiwa kugusa "Mlimani" tena kwa kusoma kwa ufadhili kama mtoto yatima na hivyo kupiga assist sehemu kibao
Ila hauridhika kwani mwaka wa kwanza tu akaharibu baada ya kuiba baiskeli hivyo mwisho wa siku utambulisho wake halisi ukagundulika mwaka 1991
7/Eduardo de Valfierno
Huyu ni tapeli wa Kiargentina
Huyu bwana ndiye aliyefanikisha kuibiwa kwa picha maarufu iliyochorwa na nguli Leonardo Da Vinci iitwayo Monalisa
Alijifanya yeye ni Marquis na kisha kuwatafuta watu na kuwalipa halafu wakaiba picha ikiwa Makumbusho mwaka 1921
Baada ya aliyemtuma kuiba na kusepa huyu jamaa akala kamisheni na watunzaji wa makumbusho na kutoa kopi 6 za picha hiyo
Na msala ulikuwa mrefu kiasi ni ngumukjuuelezea wote
6/Soapy Smith
Alizaliwa nchini Marekanimwaka 1860
Alikuwa ni msanii,tapeli na pia alimiliki genge lililokuwa lokijihusisha na Organised Crimes nchini humo
Umaarufu wake wa kitapeli ulitokana na kubuni na kuanzisha biashara iitwayo "tripe and keister" katika kona zenye msongamano mkubwa wa watu mtaani kisha kuuza keki za sabuni(keki feki zilizotengenezwa kwa sabuni) na kukusanya makumi kwa mamia ya watu kisha kuanza ujanjaujanja wapromosheni
Pia alisubiri watu wakusanyike kwa wingi na kuwatapeli kwa mbinu za maneno matamu yaliyotukuka
ila mwisho wa siku aliondoka na mpunga mrefu
5/George Parker
Alizaliwa mwaka 1870
Huyu ni mmoja wa tapeli maarufu katika historia nchini Marekani ....alifanikiwa hadi kuwatapeli watalii kwa kuwauzia mji(ardhi) ya jiji la New York
Hakuishia hapo, alifanikiwa kuliuza daraja maarufu la Brooklyn Bridge mara mbili kwa wiki kwa kipindi cha miaka kadhaa
Alifanikiwa kuwatapeli watu kibao pia kwa kuwauzia Madison Square Garden na utapeli mwingine kibao ambao naweza kujaza page nzima hapa
Baada ya kuisumbua sana New York alikuja kukamatwa na kutupwa jela maisha
Huyu kwangu ndo tapeli mahiri kuwepo nchini Narekani
4/Victor Lustig
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1890 na kufariki dunia 1947
Alikuwa ni tapeli maarufu ....alifanya utapeli mwingi ikiwemo kuwauzia wasafiri ndani ya meli viboksi feki vya kutengenezea pesa(money print) alivyovitengeneza kwa ustadi mkubwa
Alikuwa na maneno matatu,mtu snart kimavazi, mjanjamjanja
Tukio lilimpaisha zaidi ni alipofanikiwa kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa wa chuma kwa kuwauzia mnara wa Paris Paris Elffel Tower mara mbili kwa kuwapa tenda feki ya kuubomoa ili wachukue vyuma chakavukiasi kwamba walipogundua wametapeliwa waliona aibu hata kutangaza kwamba jamaa kawapiga assist.....ilikuwa ni aibu kwa watu wa hadhi yao
Jamaa alikuwa na kanuni yake maarufu ya utapeli(kutolewa,kuwa smart,kutokuwa mwongeaji kupitiliza)
Kanuni hii hadi leo matapeli wabobezi wanaitumia
3/Joseph Well
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1877 na kufariki dunia 1975
Alikuwa ni tapeli maarufu karne ya 20....kafanikisha utapeli kkibao ukiwepo wa USD 8 Milioni
Alikuwa akikusanya madeni pamoja na wafanyakazi wenzake kisha kuweka kitu kibindoni kidogo kidogo pamoja na kutoa risiti fe
ki Jamaa alikuwa bonge la tapeli kiasi akiwa kitaa alikuwa akibadili jina karibia kila siku mara Dr fulani, mara sijui mchungaji
Keshatapeli watu kibao ikiwemo kujifanya mwekezaji wa kampuni kubwa ya bisshsra ya mafuta na kujiingizia mabilioni ya pesa
2/Charles Ponzi
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1882 na kufariki dunia 1949
Alikuwa ni mhamiaji/mzamiaji wa Kitaliano aliyeishi nchini Marekani na kuwa miongoni mwa matapeli wakali wa muda wote duniani
Usishangae umaarufu wa neno Ponzi kwenye Make Money Fast Schemes kwenye mitabdao ya kijamii....ni sababu ya huyu tapeli
Ukiitwa Ponzi pigana......
Ni msomi wa Chuo Kikuu kutoka Rome nchini Italia ila akatumia maarifa yake kuwapiga watu assist/utapeli wa kufa mtu ....amewahi kufanya kazi nchi nyingi na kuishia kuachishwa kazi kutokana na utapeli mfano alianza kufanya kazi mgahawani Marekani ila akaachishwa kutokana utapeli dhidi ya wateja
Huyu ni tapeli wakimataifa
1/Frank Abagnale
Alizaliwa mwaka 1948
Alikuwa ni msanii,tapeli wa risiti(cheque) n.k
Miaka ya 1960's alifanya bad cheques katika nchi mbalimbali duniani kwenye mabenki makubwa zenye thamani ya USD 2.5 Milioni
Hii ni filamu inayoelezea madudu ya cheki feki aliyoyafanya
Utapeli mwingine maarufu ni alipotengeneza "pay in slip" feki ya akaunti ya bank na kufanikiwa kuiba USD 40,000 na fasta kuingia
Tapeli huyu alisifika kwa kupenda vimwana hivyo kufikia hadi hatua ya kujifanya ni rubani kwa kuvaa mavazi ya kirubani na kufoji kitambulisho cha shirika kubwa la usafiri wa anga duniani
.
.
Mwisho
The Bitoz