Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Kuna aina mbili za mapacha ambazo ni mapacha walioungana na mapacha wa kawaida
Pia unaweza kusema mapema wanaofanana na mapacha wasiofanana
Sasa mimi nalenga kuwazungumzia mapacha wa kawaida ambao waliweza kufanya mambo mazuri au mabaya na kujipatia umaarufu mkubwa duniani
Kwa Afrika nadhani Okore Brothers a.k.a P Square ndio mapacha maarufu zaidi kutokana na shyghuli zao za kimuziki
...................... . ........... ..................................
10/Ronald"Ronnie" & Reginald"Reggie" Kray
Hawa mapacha waliishi maisha ya kijanjajanja tu kama ilivyo kwa viben ten vya mjini
Hawa umaarufu wao umetokana na tabia yao ya utapeli,wizi, mauaji,ukabaji na kila aina ya upuuzi waliokuwa wakiufanya katika kitongoji cha East End London mahali walipokuwa wakiishi miaka ya 1950 na 1960'
Pamoja na uhalifu wao huo waliofanya kwa kificho waliweza kumiliki klabu ya usiku na hivyo kifahamiana na mastaa kibao na hivyo kupata shavu kwenye vyombo vya habari na pia kupiga assist kwa mastaa
Mwaka 1968 walitiwa mbaroni na kutupwa jela maisha
Hawa Kulwa na Dotto waliutumia ufanano wao kama fursa ya kufayia uhalifu na hivyo kuwachanganya watu
Pia unaweza kusema mapema wanaofanana na mapacha wasiofanana
Sasa mimi nalenga kuwazungumzia mapacha wa kawaida ambao waliweza kufanya mambo mazuri au mabaya na kujipatia umaarufu mkubwa duniani
Kwa Afrika nadhani Okore Brothers a.k.a P Square ndio mapacha maarufu zaidi kutokana na shyghuli zao za kimuziki
...................... . ........... ..................................
10/Ronald"Ronnie" & Reginald"Reggie" Kray
Hawa mapacha waliishi maisha ya kijanjajanja tu kama ilivyo kwa viben ten vya mjini
Hawa umaarufu wao umetokana na tabia yao ya utapeli,wizi, mauaji,ukabaji na kila aina ya upuuzi waliokuwa wakiufanya katika kitongoji cha East End London mahali walipokuwa wakiishi miaka ya 1950 na 1960'
Pamoja na uhalifu wao huo waliofanya kwa kificho waliweza kumiliki klabu ya usiku na hivyo kifahamiana na mastaa kibao na hivyo kupata shavu kwenye vyombo vya habari na pia kupiga assist kwa mastaa
Mwaka 1968 walitiwa mbaroni na kutupwa jela maisha
Hawa Kulwa na Dotto waliutumia ufanano wao kama fursa ya kufayia uhalifu na hivyo kuwachanganya watu