Nimejaribu asubuhi hii kujiunga na ikakubali.
Mabadiliko ni kuingezeka kwa gharama toka sh 200/- hadi sh 500/- lakini muda wa matumizi ni uleule. Kwakuwa ninatoka kwenda kwenye mihangaiko, sijaitumia na kupima speed kama ni ile ile au wameibana.
i dont care hio bei maana ukieka 500 ukikatwa mia 2 at the end asubuhi unachelewa kuamka inabaki 0.
ngoja nitatest na leo
i dont care hio bei maana ukieka 500 ukikatwa mia 2 at the end asubuhi unachelewa kuamka inabaki 0.
ngoja nitatest na leo