johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,044
- 143,788
Kwa zile harakati za Wanaharakati wa wakati ule tuliokuwepo tunazikumbuka lakini walishindwa.
Huu mfupa Tundu Lissu ana dhamira ya kweli ya kuutafuna au ni mbwembwe tu za Fisi kufuatilia mkono wa binadamu akiamini utadondoka?
Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi ๐
Huu mfupa Tundu Lissu ana dhamira ya kweli ya kuutafuna au ni mbwembwe tu za Fisi kufuatilia mkono wa binadamu akiamini utadondoka?
Mungu wa Mbinguni Uturehemu sisi ๐