Wafanya biashara wakubwa wamiminika Tanzania kutoka Kenya. Mazingira mazuri ya serikali ya rais Samia yanawavuta maelfu kwa mamia

J
Nakupingeza sana samia kuifanya nchi kuwa kivutio cha uwekeza nje ya africa n africa kwa ujumla.

Nasikiliza hapa dw kuna majadala wa wa mazingir ya biashara kenya. Wachangiaji wamewaka hapa wanasema samia ameua uchumi wa kenya kwa kuweka mazingira ya biashara kuw mazuri na kuwavuta wawekezaji waliokuw kenya kuna tanznai

Wanalia na ajira kwamba zimeondoka zimekuja bongo.

Wanasem enzi za jpm walifurahi sana mana kenya ingezizidi nchi zote mana wafanyabiahara walikimbilia kenya kipindi kile na keny wkaafurahi kwaba soon uchumi wa tanzania ungekufa, ni kweli. Sasa imekuwa kinyume.

Mama ni nguli wa uchumijifunze
 
We una zero ya uchumi kichwani. Nani kakwambia kwamba mwekezaji anavutiwa na kuwa na strong currency? Unajua jinsi china ilivyowarua wawekezaji wakubwa kabisa duniani kama akina elon musk wakati ime devalue currency yake! Au hujua maama ya currency devaluation and and currency depreciatio.

Rudi shule mkuu ili uwe una argue kitu unachomijua

Unajua gdp ya tanzania na kenya kwa sasa. Au unaropoka tu
Wewe unaejisifia kuwa ni mchumi mzuri wakati ni zero hukuelewa point yangu, nimejaribu kukuonesha jinsi Ksh ilivyostabilize na kuanza kurudisha hali ya uchumi wake kama ilivyokuwa mwanzo tofauti na hizo story za kusifiana mnazolishwa ninyi fisiem. Hali hii imerudisha imani kwa wawekezaji na jirani uchumi unaenda vyema mno hata purchasing power ni kubwa maradufu ukilinganisha na Tz.
 
Wewe unaejisifia kuwa ni mchumi mzuri wakati ni zero hukuelewa point yangu, nimejaribu kukuonesha jinsi Ksh ilivyostabilize na kuanza kurudisha hali ya uchumi wake kama ilivyokuwa mwanzo tofauti na hizo story za kusifiana mnazolishwa ninyi fisiem. Hali hii imerudisha imani kwa wawekezaji na jirani uchumi unaenda vyema mno hata purchasing power ni kubwa maradufu ukilinganisha na Tz.
Fanya tafiti ndogo. Tembelea ofisi za uwekezaji za kenya wakupe idadi ya wawekezaji wanaingia na wanaondoka halafu uje tanzania ufafanye the same utafiti
 
Fanya tafiti ndogo. Tembelea ofisi za uwekezaji za kenya wakupe idadi ya wawekezaji wanaingia na wanaondoka halafu uje tanzania ufafanye the same utafiti
Kabla ya kujibu hili swali lako kwanza nitajie hizo sera bora za uwekezaji zilizowekwa na Samia ambazo ni bora kuliko zilizopo Kenya kiasi cha kuwahamisha wawekezaji waliopo Kenya.
 
Kabla ya kujibu hili swali lako kwanza nitajie hizo sera bora za uwekezaji zilizowekwa na Samia ambazo ni bora kuliko zilizopo Kenya kiasi cha kuwahamisha wawekezaji waliopo Kenya.
Sera ya kodi ya tanzania ni favourable sana kuliki kenya pia hakuana kikisi kazi kama zamani enzi za jpm cha kuvamia account binafsi na kupora pesa. Kuna utawala wa sheria na wawekezaji wanapend sana hilo ili kulinda migani yao. Hakuna one man show tena ambaye amiamka na mizuka yake anaamua lolote
 
Sera ya kodi ya tanzania ni favourable sana kuliki kenya pia hakuana kikisi kazi kama zamani enzi za jpm cha kuvamia account binafsi na kupora pesa. Kuna utawala wa sheria na wawekezaji wanapend sana hilo ili kulinda migani yao. Hakuna one man show tena ambaye amiamka na mizuka yake anaamua lolote
Bro sera za nchi kwenye mazingira ya uwekezaji ndio factor kubwa hizo sera za Samia ni makeup tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240518-191551.jpg
    Screenshot_20240518-191551.jpg
    318.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240518-191736.jpg
    Screenshot_20240518-191736.jpg
    293.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240518-191753.jpg
    Screenshot_20240518-191753.jpg
    295.2 KB · Views: 2
Bro sera za nchi kwenye mazingira ya uwekezaji ndio factor kubwa hizo sera za Samia ni makeup tu.
Mwekezani siku zote ni risk averse hawezi kuwekeza sehemu ambapo hakuna utawala wa sheria mana anajua mda wowote anaweza kunyanganywa mtaji kibabe tu eti ni fisadi wakati rais hana mamlaka hayo ispokuwa mahakama na wakati wa jpm majaji walikuwa wanapigiwa simu tu kwamba funga huyu acha huyu. Ndo mana samia baada ya kuingia madarakani aliwaachia wote ili mahakama ndo iamue kosa la mtu
 
Mwekezani siku zote ni risk averse hawezi kuwekeza sehemu ambapo hakuna utawala wa sheria mana anajua mda wowote anaweza kunyanganywa mtaji kibabe tu eti ni fisadi wakati rais hana mamlaka hayo ispokuwa mahakama na wakati wa jpm majaji walikuwa wanapigiwa simu tu kwamba funga huyu acha huyu. Ndo mana samia baada ya kuingia madarakani aliwaachia wote ili mahakama ndo iamue kosa la mtu
Sasa Tanzania kuna utawala wa sheria? Mahakama zenyewe hazipo huru, na hili lilithibitishwa na Rostam, sasa hao wawekezaji kwa mazingira kama hayo watatoka wapi to be honest kama sio wachuuzi tu? Kingine huo uwekezaji lazima tuuone kwenye figure tena kupitia reputable organization kama IMF, World Bank etc
Screenshot_20240518-191753.jpg
 
Hata Baba yako akiwa mwizi au kichaaa still utamwita Baba

No matter what heshima lazima iwepo ndio maana ukiona msafara wake unasimama kusubiri apite

Ni Rais wa inchi, Heshima yake lazima apewe
Kwahiyo rais ni baba yako? Chawa unakwama wapi?
 
Nakupingeza sana samia kuifanya nchi kuwa kivutio cha uwekeza nje ya africa n africa kwa ujumla.

Nasikiliza hapa dw kuna majadala wa wa mazingir ya biashara kenya. Wachangiaji wamewaka hapa wanasema samia ameua uchumi wa kenya kwa kuweka mazingira ya biashara kuw mazuri na kuwavuta wawekezaji waliokuw kenya kuna tanznai

Wanalia na ajira kwamba zimeondoka zimekuja bongo.

Wanasem enzi za jpm walifurahi sana mana kenya ingezizidi nchi zote mana wafanyabiahara walikimbilia kenya kipindi kile na keny wkaafurahi kwaba soon uchumi wa tanzania ungekufa, ni kweli. Sasa imekuwa kinyume.

Mama ni nguli wa uchumi
 

Attachments

  • IMG-20240519-WA0064.jpg
    IMG-20240519-WA0064.jpg
    111.1 KB · Views: 1
Nakupingeza sana samia kuifanya nchi kuwa kivutio cha uwekeza nje ya africa n africa kwa ujumla.

Nasikiliza hapa dw kuna majadala wa wa mazingir ya biashara kenya. Wachangiaji wamewaka hapa wanasema samia ameua uchumi wa kenya kwa kuweka mazingira ya biashara kuw mazuri na kuwavuta wawekezaji waliokuw kenya kuna tanznai

Wanalia na ajira kwamba zimeondoka zimekuja bongo.

Wanasem enzi za jpm walifurahi sana mana kenya ingezizidi nchi zote mana wafanyabiahara walikimbilia kenya kipindi kile na keny wkaafurahi kwaba soon uchumi wa tanzania ungekufa, ni kweli. Sasa imekuwa kinyume.

Mama ni nguli wa uchumi
Nyie watu sijui akili zenu zikoje.watu wanalia mtaani hakuna hela nyie mnaleta porojo
 
Back
Top Bottom