Wadau wametoka kula Nondoz

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078

Baadhi ya wahitimu wa chuo kikuu cha Iringa (Tumaini) ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wakitumia usafiri wa punda kwenda chuoni katika mahafali yao kama walivyonaswa na mtandao huu wa matukio daima juzi eneo la Kihesa Minyarani katika barabara ya Iringa - Dodoma. Chanzo mzee wa Matukio
 
wakishaingia kwenye siasa wanasahau adha hiyo kapsaaaaaa! Ukimkumbusha kuwa kuna wakati ulibebwa na punda anakuitia polisi wallah.
 
Back
Top Bottom