Wadada acheni kupandikiza mashepu na lips za bei rahisi, nimemuona mmoja ninayemfahamu hapa Sinza kawa kituko kabisa

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,843
7,139
Huyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)

Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.

Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
 
Huyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)

Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.

Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
Picha muhimu mkuu
 
Back
Top Bottom