Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge

Shotocan

JF-Expert Member
Nov 21, 2023
2,377
4,962
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge

Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe kwenye kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano

Wahudhurie vikao tu vya bunge vya mambo yahusuyo muungano baada ya kumalizika wapande meli warudi Zanzibar

Na kuokoa Gharama bunge lianzie kwanza na wizara zinazohusu mambo ya muungano vikimalizika wabunge wazazibari warudi kwao wapishe watanganyika waendelee na mijadala ya mambo ya wizara zisizo za kimuungano

Unalipaje posho mbunge wa Zanzibar kwenye kikao Cha maswala yasiyo ya kimuungano.Huo ni ufisadi wa wazi kabisa
 
Mfano Leo ilikuwa ni kikao cha bajeti ya wizara ya maji.

Walikuwa wanangoja nini bungeni?
Ninashauri mambo ya muungano ,wizara zake zianze then wakimaliza warudi kwao kulima karafuu, sisi tuendelee na nunge la kujadili mambo ya wizara ambazo sio za muungano
Uko sahihi
 
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge

Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe kwenye kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano

Wahudhurie vikao tu vya bunge vya mambo yahusuyo muungano baada ya kumalizika wapande meli warudi Zanzibar

Na kuokoa Gharama bunge lianzie kwanza na wizara zinazohusu mambo ya muungano vikimalizika wabunge wazazibari warudi kwao wapishe watanganyika waendelee na mijadala ya mambo ya wizara zisizo za kimuungano

Unalipaje posho mbunge wa Zanzibar kwenye kikao Cha maswala yasiyo ya kimuungano.Huo ni ufisadi wa wazi kabisa
Kama ni uchu wa madaraka mbona ccm hawaachii madaraka na wako tayari kuwahonga wananchi ili wabaki madarakani kwa wewe unaona hiyo ni sawa.kwa nini wabunge wa Zanzibar wako bungeni hata kwenye bajeti ambazo si za muungano na wewe unaona imekaa poa ee
 
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge

Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe kwenye kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano

Wahudhurie vikao tu vya bunge vya mambo yahusuyo muungano baada ya kumalizika wapande meli warudi Zanzibar

Na kuokoa Gharama bunge lianzie kwanza na wizara zinazohusu mambo ya muungano vikimalizika wabunge wazazibari warudi kwao wapishe watanganyika waendelee na mijadala ya mambo ya wizara zisizo za kimuungano

Unalipaje posho mbunge wa Zanzibar kwenye kikao Cha maswala yasiyo ya kimuungano.Huo ni ufisadi wa wazi kabisa
Lisu kasema msione aibu kujiita Watanganyika.
 
Sometimes kuna saa naona hata bunge lenyewe kukaa kaa the way wanakaa naona wastege of time na hela. Hasa zama hizi za ki digitali nadhani something better could be done. Wanapoteza muda tu. Baadhi hata wanayochangia unaona ovyo tu.
 
Wabunge wa Zanzibar kuhudhuria vikao vya bunge vya wizara zisizo za muungano ni mojawapo ya kero kubwa sana ya muungano na sio sahihi

Na spika kuteua wanakamati wa zanzibari kuwa kwenye kamati za mambo yasiyo ya muungano kuwemo wazanzibari Spika ajitathimini kama hiyo nafasi ya uspika anatosha na kuenea
 
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuwa na mshipa walau wa aibu na sigda zao za kujifanya waswalihina wanakaaje bungeni hoja zikiwa za wizara zisizo za muungano Hivi wanapokea hizo posho hawana hata hofu ya Allah na Mtume Mohamed SAW kuwa wanachopokea ni haramu?

Hayo masigda usoni wanampeli Allah na Mtume wake au? Wakati wakijua fika muungano hauhusu hayo mawizara yasiyo ya muungano halafu wanajitia swala Tano wapenda haki
 
Kila siku wanatupigia makelele wanataka kujitenga ila wanangangania bunge la TanganyikaDodoma ilihali watanganyika hawaendi kwenye bunge la zanzibar
Hakuna watu matapeli wa kidini kama wazanzibari utawaona na ma sigda usoni kibao na mahijabu kibao na kujitia swala Tano wakijititia ohh tunataka muungano wa Haki lakini unakuta hawatoki nje ya bunge wakiona wizara zinazowakilisha mfano bajeti Sio za mambo ya muungano unawakuta na misigda Yao usoni ya kujitia swala Tano na mihajabu Yao wapo tu ili wapate posho za bunge wakati hoja wakilishwa Sio ya mambo ya muungano hata nafsi zao haziwasuti kuwa wanachofanya Sio sahihi wakati katiba ya muungano wanaijua vizuri mambo ya muungano ni yepi

Wanakata tu na misigda Yao na ma hijabu Yao kula posho za vikao vya mambo yasiyo ya muungano bungeni
 
Wabunge wa Zanzibar kuhudhuria vikao vya bunge vya wizara zisizo za muungano ni mojawapo ya kero kubwa sana ya muungano na sio sahihi

Na spika kuteua wanakamati wa zanzibari kuwa kwenye kamati za mambo yasiyo ya muungano kuwemo wazanzibari Spika ajitathimini kama hiyo nafasi ya uspika anatosha na kuenea
Kero ya Muungano ni kutokuwepo serikali ya Tanganyika, wabunge wa Zanzibar wanaingia kwenye bunge la Tanzania na hiyo ni haki yao. Msione aibu kujiita Watanganyika.
 
Hakuna watu matapeli wa kidini kama wazanzibari utawaona na ma sigda usoni kibao na mahijabu kibao na kujitia swala Tano wakijititia ohh tunataka muungano wa Haki lakini unakuta hawatoki nje ya bunge wakiona wizara zinazowakilisha mfano bajeti Sio za mambo ya muungano unawakuta na misigda Yao usoni ya kujitia swala Tano na mihajabu Yao wapo tu ili wapate posho za bunge wakati hoja wakilishwa Sio ya mambo ya muungano hata nafsi zao haziwasuti kuwa wanachofanya Sio sahihi wakati katiba ya muungano wanaijua vizuri mambo ya muungano ni yepi

Wanakata tu na misigda Yao na a mihijabu Yao kula posho za vikao vya mambo yasiyo ya muungano bungeni

Afadhali hata hao wabunge wanaokula posho zisizo zao.

Mwovu kuoindukia ni fikirie Prof Mbarawa. Kula mshahara na posho zisizo halali aliona haitoshi.

Mbarawa ni waziri kwenye wizara isiyo ya Muungano. Na katibu wake wa Wizara Mzanzibari, halafu wakashirikiana na mwanasheria wa Wizara Mzanzibari, wakauza bandari za Tanganyika.
 
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge

Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe kwenye kamati za bunge za mambo yasiyo ya muungano

Wahudhurie vikao tu vya bunge vya mambo yahusuyo muungano baada ya kumalizika wapande meli warudi Zanzibar

Na kuokoa Gharama bunge lianzie kwanza na wizara zinazohusu mambo ya muungano vikimalizika wabunge wazazibari warudi kwao wapishe watanganyika waendelee na mijadala ya mambo ya wizara zisizo za kimuungano

Unalipaje posho mbunge wa Zanzibar kwenye kikao Cha maswala yasiyo ya kimuungano.Huo ni ufisadi wa wazi kabisa
Wakati vikao vya Baraza la wawakilishi hata diwani kutoka Bara hawezi kutia pia achilia mbali wabunge kutoka Bara. Kama wao wanamaliza mambo ya nchi yao yao wenyewe inakuwaje bajeti ya mambo yanayohusu Bara washiriki?
 
Wakati vikao vya Baraza la wawakilishi hata diwani kutoka Bara hawezi kutia pia achilia mbali wabunge kutoka Bara. Kama wao wanamaliza mambo ya nchi yao yao wenyewe inakuwaje bajeti ya mambo yanayohusu Bara washiriki?
Hawatakiwi kushiriki yasiyowahusu kuwemo kwenye hicho kikao
 
Wakati vikao vya Baraza la wawakilishi hata diwani kutoka Bara hawezi kutia pia achilia mbali wabunge kutoka Bara. Kama wao wanamaliza mambo ya nchi yao yao wenyewe inakuwaje bajeti ya mambo yanayohusu Bara washiriki?
Wanasheria wa Tanganyika wamelala usingizi fofofo wanatakiwa waliburuze bunge au spika mahakamani Kwa kuvunja katiba ya nchi Kwa kuruhusu wabunge wa Zanzibar kuhudhuria vikao vya bunge kwenye mambo yasiyohusu muungano na kuweka wabunge kwenye kamati za mambo yasiyohusu muungano kuitaka mahakama iliamuru bunge liache hiyo tabia mara moja
 
Mi naona hata suala la wabunge kwenda bungeni kulipana posho ni kupoteza hela wafanye online meeting akiwa hukohuko jimboni kwake , bungeni wakutane kwenye mambo machache yenye ulazima wa kukutana siyo mtu anaenda kulala bungeni analipwa posho
 
Back
Top Bottom