johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,110
- 142,213
Leo Wabunge wa Zanzibar wamenifurahisha kwa namna wanavyoweza Kuwa Wamoja kwenye kutetea Maslahi ya Visiwa vyao
Wabunge hao wamemwambia Waziri Jaffo wanapitisha Bajeti yake lakini ahakikisha kero 22 za Muungano anazimaliza, Waziri amekubali
Source: ITV
Wabunge hao wamemwambia Waziri Jaffo wanapitisha Bajeti yake lakini ahakikisha kero 22 za Muungano anazimaliza, Waziri amekubali
Source: ITV