Wa kwanza kumkumbuka Kikwete

ZeMarcopolo

Platinum Member
May 11, 2008
14,019
7,223
attachment.php


Ingawa makundi mbalimbali nchini yatamkumbuka sana, vyama vya upinzani vitakuwa kundi la kwanza kumkumbuka na kummiss Rais Kikwete.

Kikwete ni Rais pekee aliyeuvumilia, kuupa uhuru na kuupalilia upinzani njia ya kujiboresha. Iwapo wapinzani wangekuwa makini, wangenufaika sana na uhuru huu waliopewa.

Historia itamkumbuka Kikwete kama Rais aliye tayari kusikiliza mawazo tofauti hata yale yanayolenga kumshambulia. Wapinzani wameshindwa kutumia fursa hii kujipatia angalau 45% ya Bunge. Fursa adimu kama hii haitakuwepo tena kwenye awamu ya tano.

Tabasamu la Kikwete ambalo wapinzani aghalabu wamekuwa wakilikejeli ni miongoni mwa vitu watakavyovimiss sana wanapohutaji muafaka wa masuala ya kisiasa ya kitaifa. Hili litakuwa somo kuwa kitu hukithamini mpaka kitakapokosekana.

Uongozi wa awamu ya nne ulikuwa haupendi shuruti. Ulikuwa unatoa muda wa kufikiria. Ulikuwa unatoa nafasi ya kujirekebisha. Wapinzani walikuwa mbele kupinga aina hii ya uongozi. Kwa bahati, umekuja uongozi wa aina tofauti.

Mlichokiomba mmekipata...
 

Attachments

  • jk.jpg
    jk.jpg
    14.8 KB · Views: 4,221
Uongozi wa awamu ya nne ulikuwa haupendi shuruti. Ulikuwa unatoa muda wa kufikiria. Ulikuwa unatoa nafasi ya kujirekebisha. Wapinzani walikuwa mbele kupinga aina hii ya uongozi. Kwa bahati, umekuja uongozi wa aina tofauti.

Mlichokiomba mmekipata...

Mi ntamiss mizaha kwenye wizi wa mali za umma - kama EPA, RICHMOND, TWIGA KUPAKIWA KWENYE NDEGE na ESCROW. Yote hayo yametokea na bado muda wa kufikiria na kujirekebisha unaendelea hadi leo.
 
Ingawa makundi mbalimbali nchini yatamkumbuka sana, vyama vya upinzani vitakuwa kundi la kwanza kumkumbuka na kummiss Rais Kikwete.

Kikwete ni Rais pekee aliyeuvumilia, kuupa uhuru na kuupalilia upinzani njia ya kujiboresha. Iwapo wapinzani wangekuwa makini, wangenufaika sana na uhuru huu waliopewa.

Historia itamkumbuka Kikwete kama Rais aliye tayari kusikiliza mawazo tofauti hata yale yanayolenga kumshambulia. Wapinzani wameshindwa kutumia fursa hii kujipatia angalau 45% ya Bunge. Fursa hadimu kama hii haitakuwepo tena kwenye awamu ya tano.

Tamasamu la Kikwete ambalo wapinzani aghalabu wamekuwa wakilikejeli ni miongoni mwa vitu watakavyovimiss sana wanapohutaji muafaka wa masuala ya kisiasa ya kitaifa. Hili litakuwa somo kuwa kitu hukithamini mpaka kitakapokosekana.

Uongozi wa awamu ya nne ulikuwa haupendi shuruti. Ulikuwa unatoa muda wa kufikiria. Ulikuwa unatoa nafasi ya kujirekebisha. Wapinzani walikuwa mbele kupinga aina hii ya uongozi. Kwa bahati, umekuja uongozi wa aina tofauti.

Mlichokiomba mmekipata...

No wonder my country is poor and will continue being so in the near future Kwa mawazo kama haya. Hivi kwa nini tuna mortgage maisha yetu kwa personalities-worse wanasiasa...! Get life guys! Zama za Kikwete zimekwisha. Alifanya hakufanya is yesterday's story. Sasa tunaangalia mbele.

Kwamba hii post ina assume kwamba wapinzani.....wako static. Thy will also evolve. Just like CCM will. So akina Mbowe, Slaa....et al.....na wao wataondoka..there is generation change. We simply have to accept that.
 
No wonder my country is poor and will continue being so in the near future Kwa mawazo kama haya. Hivi kwa nini tuna mortgage maisha yetu kwa personalities-worse wanasiasa...! Get life guys! Zama za Kikwete zimekwisha. Alifanya hakufanya is yesterday's story. Sasa tunaangalia mbele.

Kwamba hii post ina assume kwamba wapinzani.....wako static. Thy will also evolve. Just like CCM will. So akina Mbowe, Slaa....et al.....na wao wataondoka..there is generation change. We simply have to accept that.

Hili Mbowe kuondoka utalisubiri sana. Kashabadili katiba ili awe mwenyekiti wa kudumu...
 
Hata mimi nitamkumbuka coz cjawahi kusikia twiga wamepanda ndege; uteuzi wa viongozi mpaka dk ya mwisho; kuchekewa kwa walarushwa na ubadhilifu wa mali ya umma
 
Hata mi ntamkumbuka kama mwenyekiti wa chama kuafiki chenge na tibaijuka kuludi bungeni mama tibaijuka ameludi kutafuta za ugali sasa maana ya mboga alisha ipata pia ntamkumbuka kwa kusaini miswada ya gesi iliyopitishwa kwa dharula.
 
Nitamkumbuka kwa mipasho hususani awapo jukwaani nitamkumbuka kumthihaki mwenzie kuwa ni fisadi ikiwa ameenza kazi miaka kenda bila kumthiaki mwanae kipenz ambaye anamiliki mali nyingi na hakuwahi kuajiriwa hata 1sec akapata mshahara wakujitengenezea mtaji kwakwel ntakumbuka sana na ninazidikumkumbuka
 
Wananchi wa bagamoyo ndio watakaomkumbuka huyu jamaa.
Wenye akili timamu hawawezi kumkumbuka huyu jamaa.
 
Khaa!! Mie kwa miaka yote 10 nitamkumbuka kwajambo moja kubwa na lenye maana sana kwa ustawi wa nchi yetu. KUMKATA YULE JAMAA akiwa na pesa zake na vibaraka wake..
 
Mbowe sio kipau mbele cha watanzania kumbuka kipau mbele cha watanzania in Tanzania kuwa kama Dubai tunaisubiri
 
Rais Kikwete ukiangalia wengi wanaomshambulia utakuta ni chuki binafsi.

Kwa kweli alijitahidi kwa kadiri alivyoweza, tatizo watu wake wa karibu walikuwa wanamuangusha.

Tukiachilia hayo na yeye ni Binadaam kama yoyote/yeyote mwingine yule, mapungufu lazima yawepo.

Hongera sana Rais Kikwete kwa kumaliza awamu zako zote mbili kwa usalama
 
Back
Top Bottom