Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,146
- 3,020
Kwa wenye uzoefu na gari tajwa hapo juu.
Ni ya 2012
Cc 1200
Kiufupi sina uzoefu na magari zaidi ya kuendesha ya watu,nmetokea kuipenda muonekano wa hii gari na kuna mtu anaiuza,sasa kabla sijafanya maamuzi ya kuichukua naomba kufahamishwa yafuatayo
1. Bei yake kuagiza mpaka naingia nayo barabaran.
2. Ground clearance yake inafaa rough road?
3. Fuel consuption
4. Upatikanaji wa vifaa.
5. Mafundi wake kwa Tanzania wapo wengi?
6. Je, usumbufu wake mkubwa upo kwenye nini haswa?
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Ni ya 2012
Cc 1200
Kiufupi sina uzoefu na magari zaidi ya kuendesha ya watu,nmetokea kuipenda muonekano wa hii gari na kuna mtu anaiuza,sasa kabla sijafanya maamuzi ya kuichukua naomba kufahamishwa yafuatayo
1. Bei yake kuagiza mpaka naingia nayo barabaran.
2. Ground clearance yake inafaa rough road?
3. Fuel consuption
4. Upatikanaji wa vifaa.
5. Mafundi wake kwa Tanzania wapo wengi?
6. Je, usumbufu wake mkubwa upo kwenye nini haswa?
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app