wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Kampuni ya Vodacom imekuwa ikichezesha bahati nasibu kwa wateja wao mf. 'Jay milioni' na hii 'Kamata mpunga' ya sasa.
Wateja wa Vodacom wamekuwa wakitoza pesa kila wateja wao wanaposhiriki bahati nasibu hizo.
HOJA
1. Vodacom ni kampuni inayojihusisha na mawasiliano na huduma za kifedha hii bahati nasibu ni kuwanyonya watanzania walipaswa kutoa zawadi kama reward kwa wateja wao. Mf. kampuni za soda, benki zimekuwa zikitoa zawadi kwa wateja wao pasipo kuchangishwa au tozo ya ushiriki wa kupata zawadi.
2. Vodacom kuchezesha bahati nasibu haiko sawa maana wao ndio wanakusanya pesa na wao ndio wanachezesha hiyo bahati nasibu hapa ni rahisi kudanganywa katika mapato yao na utoaji wa zawadi.
Mytake:
TCRA wazuie Vodacom kuchezesha bahati nasibu
kama utoaji wa zawadi uwe huru kwa wateja wote pasipo tozo au makato ya pesa za ushiriki.
Wateja wa Vodacom wamekuwa wakitoza pesa kila wateja wao wanaposhiriki bahati nasibu hizo.
HOJA
1. Vodacom ni kampuni inayojihusisha na mawasiliano na huduma za kifedha hii bahati nasibu ni kuwanyonya watanzania walipaswa kutoa zawadi kama reward kwa wateja wao. Mf. kampuni za soda, benki zimekuwa zikitoa zawadi kwa wateja wao pasipo kuchangishwa au tozo ya ushiriki wa kupata zawadi.
2. Vodacom kuchezesha bahati nasibu haiko sawa maana wao ndio wanakusanya pesa na wao ndio wanachezesha hiyo bahati nasibu hapa ni rahisi kudanganywa katika mapato yao na utoaji wa zawadi.
Mytake:
TCRA wazuie Vodacom kuchezesha bahati nasibu
kama utoaji wa zawadi uwe huru kwa wateja wote pasipo tozo au makato ya pesa za ushiriki.