Vitisho vya Azana

Joe Navarro

JF-Expert Member
Aug 22, 2022
1,475
3,067
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.

Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako
Shuka lako ndio sanda yako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.
Aaaah Jamani eeeh

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Dini zimejaa vitisho vya ajabu sana
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Kutoamka mapema ni alama ya uvivu. Amka toka, utaona tofauti yako na aliyelala. Hiyo ni nini wakup call
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Kama unamuamini Yesu Kristo na unaishi maisha matakatifu, usiwe muoga.

Lala vizuri tu, usiogope.
Woga ni roho chafu .
 
Kutoamka mapema ni alama ya uvivu. Amka toka, utaona tofauti yako na aliyelala. Hiyo ni nini wakup call
Ila na nyinyi mngesogeza kidogo muda hiyo Azana yenu mpaka walau saa 12 hivi! Kiukweli huwa hamtutendei haki sisi ambao hatuhusiki na hizo swala zenu. Yaani ikifika saa 10+ alfajiri ni kelele mji mzima.

Am very sorry. Kumbuka tu kila sauti inaweza kuwa na tafsiri mbili kwa msikilizaji. Binafsi kitu ambacho sihitaji kukisikia masikioni mwangu, siku zote huwa nakichukulia kama kelele.
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Mwamba umemind. kweli wanatutisha sana
 
Hivi vitu vilikuwepo toka enzi na enzi na watu walijufunza kuishi navyo.

Na hawadanganyi ibada ni bora kuliko usingizi.
Wengine wanaadhini kiistarabu ila wengine duuh Ila sishangai maana pia wana madhehebu yao Shia, Suni & Muhamediah plus Alshababu, sawa na huku kuna walokole na wajasiliadini makelele mfululizo pepo toka we pepo toka toka pepo wakati wengine wanabembeleza Sala 'Salamu Maria umejiaa Neema Bwana yu nawe.....'
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom