Virutubisho na faida za Tende kwa afya

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
575
2,559
Tende ni matunda yenye kiasi kikubwa cha nyuzilishe, protini, nishati, madini chuma, Calcium, zinc, copper, magnesium pamoja na aina mbalimbali za sukari.

Huwa pia na viondoa sumu vya Beta Carotene, Lutein na Zeaxanthin pamoja na vitamini A, K na folate.

dates-cover-1.jpg


Tende huwa faida nyingi kwa afya yako, baadhi yake ni hizi;
  • Huwa na kampaundi za Flavonoids ambazo husaidia kupambana na aina mbalimbali za uvimbe pamoja na kuzuia saratani, kisukari na magonjwa ya akili.
  • Huwa na Kampaundi za Carotenoids ambazo huhusikana utoaji wa rangi halisi za matunda. Kampaundi hizi huboresha afya ya moyo na macho.
  • Hurahisisha uchungu wa kujifungua, hasa zikitumiwa na wanawake walio kwenye hatua za mwisho za ujauzito
  • Huimarisha mifupa sababu ya uwepo wa madini ya phosphorus, calcium na Magnesium
  • Hurahisisha choo
Matumizi ya matunda haya huongezeka sana wakati wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, ni muhimu kujiwekea utaratibu wa kuyatumia kila wakati ili kujinufaisha katika kuboresha afya yako.
 
Daaah Tende nakula sana, yaani angalau kila siku punje kadhaa nakula ,ni zaidi ya mwaka wa 8 sasa baada ya kuwa marafiki na jamaa yangu mmoja muislamu alikuwa akiniletea
 
Daaah Tende nakula sana, yaani angalau kila siku punje kadhaa nakula ,ni zaidi ya mwaka wa 8 sasa baada ya kuwa marafiki na jamaa yangu mmoja muislamu alikuwa akiniletea
Na asali(honey) nayo nzuri sana ukipata kijiko kimoja kwa siku ndani ya mwezi utaona una nguvu na mabadiliko ya afya.
 
Wakatuti dini zilishatoka kwenye propaganda Sasa hivi zinahubiri neno la kweli ukiondoa Mila na tamaduni za waliotuletea dini hiyo, wenzetu ndio kwanza kumekucha na vipeopaganda vya kizamani.

Wakati Kila dakika Kuna watu wanabatizwa na kumfuata Yesu kimya kimya wenzetu wakimpata mtu mmoja labla aliwahi kuwa mashuhuri huko zamani basi itakuwa ndio ajenda Kila saa kulizungumzia.

Hii ya tende inarembwa rembwa tuu kwa sababu watu waliowaletea dini ndio chakula Chao Cha asili kutokana na mazingira Yao ya jangwani, na sisi tulivyoweupe kichwani tukadhani Yana uhusiano wowote na kwenda mbinguni ukiyala.

Ingekuwa yanasaidia kwenye satatani, kisukari, pressure nk basi mahosipitalini wangekuwepo wakristu wasiokula madude hayo au wanakula just for na sio kipaumbele lakini kinyume chale wote tumebanana mahosipitalini iwe unayatafuna Kila siku iwe hujawahi kuyala na wenye afya Bora ambao kwao hayana nafasi wapo kibao wanadunda mtaani. Hiyo ni propaganda ya kujustfy kuwa ni mazuri kwa afya kumbe ni utumwa wa kufuata vyakula vya jadi vya waliowaletea dini na kuacha vyakenu. Bongo tuna matunda mengi ya asili ambayo Mungu katupa kutokana na Hali ya hewa ya kwetu na vinasaba vya miili yetu. Tuyatumie hayo kwa afya zetu sio ku import kutoka nje madude yaliyozindikwa kwa sukari au asali muda mrefu mnaletewa tena eti kwa msaaada na kuyatafuna mkiamini ni mbinguni yatawafikisha
 
Wakatuti dini zilishatoka kwenye propaganda Sasa hivi zinahubiri neno la kweli ukiondoa Mila na tamaduni za waliotuletea dini hiyo, wenzetu ndio kwanza kumekucha na vipeopaganda vya kizamani.

Wakati Kila dakika Kuna watu wanabatizwa na kumfuata Yesu kimya kimya wenzetu wakimpata mtu mmoja labla aliwahi kuwa mashuhuri huko zamani basi itakuwa ndio ajenda Kila saa kulizungumzia.

Hii ya tende inarembwa rembwa tuu kwa sababu watu waliowaletea dini ndio chakula Chao Cha asili kutokana na mazingira Yao ya jangwani, na sisi tulivyoweupe kichwani tukadhani Yana uhusiano wowote na kwenda mbinguni ukiyala.

Ingekuwa yanasaidia kwenye satatani, kisukari, pressure nk basi mahosipitalini wangekuwepo wakristu wasiokula madude hayo au wanakula just for na sio kipaumbele lakini kinyume chale wote tumebanana mahosipitalini iwe unayatafuna Kila siku iwe hujawahi kuyala na wenye afya Bora ambao kwao hayana nafasi wapo kibao wanadunda mtaani. Hiyo ni propaganda ya kujustfy kuwa ni mazuri kwa afya kumbe ni utumwa wa kufuata vyakula vya jadi vya waliowaletea dini na kuacha vyakenu. Bongo tuna matunda mengi ya asili ambayo Mungu katupa kutokana na Hali ya hewa ya kwetu na vinasaba vya miili yetu. Tuyatumie hayo kwa afya zetu sio ku import kutoka nje madude yaliyozindikwa kwa sukari au asali muda mrefu mnaletewa tena eti kwa msaaada na kuyatafuna mkiamini ni mbinguni yatawafikisha
Mkuu umewahi kusikia neno GUBU?

Ndilo hili la kwako. Punguani wahed wewe
 
Wakatuti dini zilishatoka kwenye propaganda Sasa hivi zinahubiri neno la kweli ukiondoa Mila na tamaduni za waliotuletea dini hiyo, wenzetu ndio kwanza kumekucha na vipeopaganda vya kizamani.

Wakati Kila dakika Kuna watu wanabatizwa na kumfuata Yesu kimya kimya wenzetu wakimpata mtu mmoja labla aliwahi kuwa mashuhuri huko zamani basi itakuwa ndio ajenda Kila saa kulizungumzia.

Hii ya tende inarembwa rembwa tuu kwa sababu watu waliowaletea dini ndio chakula Chao Cha asili kutokana na mazingira Yao ya jangwani, na sisi tulivyoweupe kichwani tukadhani Yana uhusiano wowote na kwenda mbinguni ukiyala.

Ingekuwa yanasaidia kwenye satatani, kisukari, pressure nk basi mahosipitalini wangekuwepo wakristu wasiokula madude hayo au wanakula just for na sio kipaumbele lakini kinyume chale wote tumebanana mahosipitalini iwe unayatafuna Kila siku iwe hujawahi kuyala na wenye afya Bora ambao kwao hayana nafasi wapo kibao wanadunda mtaani. Hiyo ni propaganda ya kujustfy kuwa ni mazuri kwa afya kumbe ni utumwa wa kufuata vyakula vya jadi vya waliowaletea dini na kuacha vyakenu. Bongo tuna matunda mengi ya asili ambayo Mungu katupa kutokana na Hali ya hewa ya kwetu na vinasaba vya miili yetu. Tuyatumie hayo kwa afya zetu sio ku import kutoka nje madude yaliyozindikwa kwa sukari au asali muda mrefu mnaletewa tena eti kwa msaaada na kuyatafuna mkiamini ni mbinguni yatawafikisha
Una ka hoja ila andiko limejaa chuki mpaka limepoteza maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom