beevenom
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 313
- 430
Wadau habari ya mapambano,naomba kujua hali ya corona ipo vp hapo mitaa yenu, home kwangu familia nzima imepigwa na mafua makali sana.
Na kwa upande wa wife dalili ndo kama zile za awamu ilee yaani mafua seriou, homa na maumivu ya mwili.
Naomba kuwasilish
Na kwa upande wa wife dalili ndo kama zile za awamu ilee yaani mafua seriou, homa na maumivu ya mwili.
Naomba kuwasilish