Viongozi wa uamsho wafikishwa mahakamani

wameshtakiwa kwa uchochezi,kuvuruga amani,uharibifu wa mali za watu na miundombinu ya barabara.Wote wamenyimwa dhamana,kesi itatajwa tena tarehe 25 Oct.
source:Dw
 
Asante kwa kutujuza mkuu naamini serikari itachukua mkondo wake manake hawa watu wanataka watuharibie nchi:msela:
 
hata tarehe 25 wanyimwe dhamana tu! hawana faida uraiani zaidi ya kuongezea watu umaskini!
 
sasa kama serikali inataka kuanza kuwa serious, wasionewe, wapewe haki zote za watuhumiwa na utu na uhuru wao uheshimiwe ikiwa ni pamoja na dhamana ila kesi iendeshwe kufuata sheria za nchi bila shinikizo za kidini au za kisiasa!
Kweli kabisa 100%. Kutakuwepo na heshima kubwa baadaye!!
 
sasa kama serikali inataka kuanza kuwa serious, wasionewe, wapewe haki zote za watuhumiwa na utu na uhuru wao uheshimiwe ikiwa ni pamoja na dhamana ila kesi iendeshwe kufuata sheria za nchi bila shinikizo za kidini au za kisiasa!
Sheria imnyonge Mwnananchi tu ? Jeshi la police jee? nchi haina sheria la kushitaki jeshi la police ? Kuna mauwaji mangapi hapa nchini kwa raia wasiokuwa na hatia kwa jeshi la police ?
 
Taarifa ya moja kwa moja kutoka Star Tv, imesema viongozi wa Uamsho wapatao kumi hivi wamefikishwa mahakamani huko Zanzbar..!


للجنة الدعوة الإسلامية
 
Sheria itachukua mkondo wake na Mungu bariki huo uamsho ugeuke kuwa usingizi ili waache kutusumbua. Futilia mbali uamsho kwa sababu hauna faida yoyote
 
Taarifa ya moja kwa moja kutoka Star Tv, imesema viongozi wa Uamsho wapatao kumi hivi wamefikishwa mahakamani huko Zanzbar..!

Wamefikishwa mahakama ya Kadhi au mahakama yetu ya wapenda amani mahakama ya Jamhuri

 
Sheria imnyonge Mwnananchi tu ? Jeshi la police jee? nchi haina sheria la kushitaki jeshi la police ? Kuna mauwaji mangapi hapa nchini kwa raia wasiokuwa na hatia kwa jeshi la police ?
Kumbuka vitu viwili
1.Mauaji yaliyofanywa na police hayawezi kuhalisha mauaji yaliyofanywa na UAMSHO (kosa la mtu mmoja halihalalishi ya mtu mwingine)
2.Thread iliyo mbele yetu inahusu viongozi wa uamsho kufikishwa mahakamani ndio maana tunaijadili kwa muktada huo sasa hili la police kuua bila kushitakiwa lilishajadiliwa sana hapa na kama hujaridhika iwekee thread yake tutatoa maoni yetu, bila kusahau anayetuhumiwa kuumua Mwangosi amefikishwa mahakamani!
 
kutoka facebook
KESI YA KHAIRISHWA MPAKA TAREHE 25/10/2012
KESI WALIOBAMBIKIWA NI KESI YA KITOTO...

Kesi ya Viongozi wetu wa Uamsho inayowakabili imekhairishwa mpaka siku ya ALKHAMIS.
Jaji wa mahkama alitaja kesi inayowakabili viongozi hao ni
KUTOA MANENO YA UCHOCHEZI NA KUSABABISHA VURUGU ZILIZOTOKEA MSUMBIJI MIEZI MIWILI NYUMA.
Kwa upande wa Mawakili wetu walilamika sana kwa upande wa serikali kushindwa kuwapatia order paper ya washtakiwa hili linaonekanwa kuwa walikuwa hawajui wawape kesi gani.
Vile vile walilalamikia Jinsi Jeshi la polisi wanavovunja sheria kwa Kuwazuwia Mawakili hao kuonana na wateja wao ambao ni viongozi wa Uamsho ambacho nikinyume na sheria.
Vilevile Mawakili wetu imetaka mahkama kuondoa baadhi ya vipengele vya DHAMANA.
ikiwemo kuwepo kwa barua ya sheha kwani masheha wakifatwa hujifanya wanaviakao na hawataki kutoa.
vile vile kuondoa kipengele cha kuwepo mdhamini moja ambae nimfanyakazi wa serikali.wanasheria hao wamesema haiwezekani ikawa serikali ndio inawashataki halafu lazima awepo mdhamini ambae anafanya kazi serikalini.
Baada ya makubaliano hayo Jaji ambae aliepangiwa kesi hiyo amesema kutokana na ugumu wa kesi hiyo ameomba kuihairisha mpaka siku ya ALHAMIS TAREHE 25.10,2012.
 
Kumbuka vitu viwili
1.Mauaji yaliyofanywa na police hayawezi kuhalisha mauaji yaliyofanywa na UAMSHO (kosa la mtu mmoja halihalalishi ya mtu mwingine)
2.Thread iliyo mbele yetu inahusu viongozi wa uamsho kufikishwa mahakamani ndio maana tunaijadili kwa muktada huo sasa hili la police kuua bila kushitakiwa lilishajadiliwa sana hapa na kama hujaridhika iwekee thread yake tutatoa maoni yetu, bila kusahau anayetuhumiwa kuumua Mwangosi amefikishwa mahakamani!
Kwa upande wangu mimi sikubaliani na mwananchi yoyote atoke taasisi yoyote asitakiwe na serikali kwa sababu zisizo kuwa za msingi,na hasa ukiangalia kesi kama ya uwamsho,ukiangalia begining ya shekh farid ya kutekwa ina mtuhani mkubwa.

Kwanza hakuna ushahidi wa kutosha kuwa alitekwa na police wa usalama, wakili wake ana kazi kubwa kumtetea kwa sababu hizo watuhumia walio mteka walitumia njia ya kijasusi.

Pili amani iliyo vunjwa na wananchi haihusiani na viongozi wa uwamsho,kwa sababu walio fanya sio uwamsho bali ni wananchi wakawaida kama mimi nawewe tunaweza kungia barabarani na kufanya fujo na kuharibu mali za wananchi.

Tatu kuna kesi ya mauwaji ya police eneo la bububu mjini maghribi Unguja,ambao halihusiani na uwamsho,kwa sababu maeneo ambayo walikuwa hayako katika usalama ,ni Darajani,Amani,Kwa mtipura sijui,mbuyuni,ni maeneo ya mjini tu.


Kwa uchunguzi wangu kwa mauwaji ya police, kumbuka kuwa au kama ulisikia aliuliwa mtoto wa miaka 14 eneo hilo la bububu ambapo alipo uliwa police kinyama,mtoto huyo aliuliwa na jeshi la police,serikali imeshindwa kutoa maelezo na kuhalalisha mauwaji hayo, kwa maana hiyo naamini mauwaji ya police yefanywa na wananchi wenyewe hasira wa eneo hilo na sio uwamsho.

Jengine ukubali usikubali uwamsho imekuwa kama vile jaa la taka,kwa vile jumuiya hii ndio ambayo inahamasisha wanzanzibar kudai zanzibar huru ambapo ni kinyume cha sera ya ccm, pamoja na serikali tawala,na ndio maana wanawapga vita uwamsho kwa kila njia ili kuwasukumizia makosa ya ajabu ajabu kupata nafasi ya kuwasambaratisha.

Amini usiamini hii ni agenda maalum, lakini wananchi mara hii watashinda, ccm ipo hoi inasambaratika taratibu.
 
Nafikiria hili sekeseke liliwakuta Masheikh na viongozi wa Kiislam, lingewakuta viongozi wa CHADEMA na kufikishwa mahakamani na dhamana zao zikazuiliwa...;
1) Je, wangetukanwa, kukashifiwa na kusimangwa viongozi walioshtakiwa, ama kibao kingegeuzwa kwa mahakimu na polisi waendesha mashtaka??? Wangeambiwa hawakusoma, shule ndogo, nk..nk!!!
2)Kumtukana Mwenyezimungu tumuamniye sisi waislam (Allah) na kumtukana Mtume Muhammad SAW, vina uhusiano gani na kesi ya hao viongozi wa Kiislam? Halafu nyie watukanaji si watoto wadogo, ni watu wazima na maarifa yenu mnajiita mmesoma, mnaishia kutukana....kweli ni Great Thinkers!!!
 
Kwa upande wangu mimi sikubaliani na mwananchi yoyote atoke taasisi yoyote asitakiwe na serikali kwa sababu zisizo kuwa za msingi,na hasa ukiangalia kesi kama ya uwamsho,ukiangalia begining ya shekh farid ya kutekwa ina mtuhani mkubwa.

Kwanza hakuna ushahidi wa kutosha kuwa alitekwa na police wa usalama, wakili wake ana kazi kubwa kumtetea kwa sababu hizo watuhumia walio mteka walitumia njia ya kijasusi.

Pili amani iliyo vunjwa na wananchi haihusiani na viongozi wa uwamsho,kwa sababu walio fanya sio uwamsho bali ni wananchi wakawaida kama mimi nawewe tunaweza kungia barabarani na kufanya fujo na kuharibu mali za wananchi.

Tatu kuna kesi ya mauwaji ya police eneo la bububu mjini maghribi Unguja,ambao halihusiani na uwamsho,kwa sababu maeneo ambayo walikuwa hayako katika usalama ,ni Darajani,Amani,Kwa mtipura sijui,mbuyuni,ni maeneo ya mjini tu.


Kwa uchunguzi wangu kwa mauwaji ya police, kumbuka kuwa au kama ulisikia aliuliwa mtoto wa miaka 14 eneo hilo la bububu ambapo alipo uliwa police kinyama,mtoto huyo aliuliwa na jeshi la police,serikali imeshindwa kutoa maelezo na kuhalalisha mauwaji hayo, kwa maana hiyo naamini mauwaji ya police yefanywa na wananchi wenyewe hasira wa eneo hilo na sio uwamsho.

Jengine ukubali usikubali uwamsho imekuwa kama vile jaa la taka,kwa vile jumuiya hii ndio ambayo inahamasisha wanzanzibar kudai zanzibar huru ambapo ni kinyume cha sera ya ccm, pamoja na serikali tawala,na ndio maana wanawapga vita uwamsho kwa kila njia ili kuwasukumizia makosa ya ajabu ajabu kupata nafasi ya kuwasambaratisha.

Amini usiamini hii ni agenda maalum, lakini wananchi mara hii watashinda, ccm ipo hoi inasambaratika taratibu.
Ni lazima watu wa aina yako watakuwa na matatizo ya akili, hivi unadhani hapa ni nani mtoto mdogo wa kumdanganya kwamba huyo Gaidi kiongozi wa UAMSHO alitekwa? si kweli ni uongo mtupu alijificha ili lengo lake la kuleta machafuko litimie.
 
Back
Top Bottom