Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,735
- 2,265
Its intellectually dishonest kwa mtu kujidai unafahamu kila kitu alimradi kuteuliwa kukimbiza mwenge.
Huyu kada anayepima ubora wa barabara kwa kuipiga sululu kimsingi anaonyesha ujuha wa kile asichokijua.
Wakimbiza mwenge inabidi waambiwe kile wanachitakiwa kufanya, la sivyo wameshaonyesha kuwa ni vichekesho.