Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,640
- 11,544
Atoki ntu.
Binafsi ningekuwa mwanasiasa na Nina msimamo wangu Niko radhi nipoeze nafasi ila nisimamie nachoona kinafaa na naweka wazi kabisa..Unawajua wanasiasa vizuri? Hawafanyi maamuzi kwa msukumo wa logic bali kwa kuendana na upepo wa wapiga kura
Mfumo hapana. Why? - sababu inawaingizia mapato. So, lazima scape goat aliwe kichwa kutuliza haliSi lazima kuondoka, ni kazima kuangalia mfumo wa tozo/kodi..
Km hivyo ndivyo ulivyo siasa usijaribu. Kule ni ku practice unafiki na kiwango cha juu sanaBinafsi ningekuwa mwanasiasa na Nina msimamo wangu Niko radhi nipoeze nafasi ila nisimamie nachoona kinafaa na naweka wazi kabisa..
Kama watafanya maamuzi Kwa.muktadha wa upuuzi kisa chuki binafsi za Kisiasa is okay.
Na alivyo arrogant dah....atakuwa kamaindi sana hahahaAisee Leo Muigulu kafedheheshwa hatari..
Watu wakawaida wanamjia juu kama mtoto wana itukana PHD yake na kuita ya kazi gani. nilimuona alikuwa ana hema kwa uchungu na aibu.
Maana karibia watu wa 4 wote wana mshambulia
Halafu mjadala wote hauwazungumzii wabunge. Yaani wali miss target mno mnoMpaka sasa kosa ni la wabunge kupitisha sheria za hovyo zinazokuja waumiza wanaokuja zisimamia.
Siwezi hizo kazi za siasa Mimi Kwa sababu kuongea watu sio jadi yangu so watajuana wao Kwa wao huko huko..Km hivyo ndivyo ulivyo siasa usijaribu. Kule ni ku practice unafiki na kiwango cha juu sana
Bado haitasaidia...kanuni za tozo zikaangaliwe upya.Mfumo hapana. Why? - sababu inawaingizia mapato. So, lazima scape goat aliwe kichwa kutuliza hali
Zikaangaliwe na nani? No body caresBado haitasaidia...kanuni za tozo zikaangaliwe upya.
Wakigoma inakula kwao, hawatapata kipato. Wana familia, kodi, karo, etc Mwishowe njaa itawalazimisha wafungue tu.Kwasababu wamehusisha viongozi wa biashara Tanzania nzima wamewajengea umoja hivyo zisipochukuliwa hatua kifuatacho sio mgomo wa kariakoo Bali Tanzania nzima
Hakuna wa kuondoka labda wapitiwe na changamoto ya kupumua.Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?
Waondoke waende wapi wakati wao wanatekeleza sheria zilizotungwa na bunge na kuidhinishwa na Rais.Wote haoo
Kwa kuna mbunge aliyechaguliwa kwa kura za wananchi !.Hadi unajiuliza hivi bunge lina umuhimu gani, watu wanasema vitu ambavyo bungeni hakuna anayeweza kuzungumza ayo.
Ingependeza leo vikao vyao wangewekewa screen wakaona ukweli wa hali iliyopo
1 na nafasi yake atachukua Dotto BitekoKikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?
Bungeni....Zikaangaliwe na nani? No body cares
Watasutwa tu afu waende wakalitizame.Kikao cha Kariakoo ki ukweli kimekuwa kikubwa sana tofauti na matarajio ya wengi.
Je, kwa muelekeo wa Kikao nani ataondoka?
1. Waziri wa Fedha?
2. Waziri wa Biashara?
3. CG wa TRA?
4. Manager wa TRA Ilala?
Nani ataondoka?