Uzi maalum: Growth Hacking

Kuanzisha na kukuza biashara ni ndoto na malengo ya kila mjasiriamali, lakini mara nyingine ni vigumu sana kupata mawazo ya namna ya kutoka ngazi moja kwenda nyingine. Biashara nyingi ndogo ndogo huwa zinaanzishwa lakini zinakwama, hazikui na pengine zinakufa kabisa. Ndiposa nimefikiri ni vyema tukawa na uzi ambao tunapeana taarifa na maarifa ya namna ya kukuza biashara zetu kwa mfumo wa 'growth hacking' hususani katika zama hizi za mapinduzi ya kiteknolojia. Tusiachwe nyuma, angalau siku moja tuwe na startup kutoka Tanzania ambayo inaingia katika orodha ya 'Unicorns' duniani.
Great
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom