Habari wadau!
Kuna jambo hili linalalamikiwa sana na Serikali ya Kenya kila kukicha serikali imeweka pamba masikioni. Kuna uwindaji wa Tembo wakutisha unafanyika Endulen (kwa wasiojua Endulen ni pori la wanyama lililoko mpakani kati ya Amboseli National park na Tanzania upande wa huko West Kilimanjaro njia ya Sanya juu), so Kwa Kenya ni National park kwa Tanzania ni pori lililoko chini ya WMA.
Sasa jamaa hawa wanaowinda kihalali huua wale Tembo wakumbwa sana wanaitwa Tusker Elephants kule Kenya so pindi wakivuka upande wa Tanzania hawarudi tena, ni bunduki zinalia full time. Kumbuka wanyama hawana border, serikali imepigiwa kelele lakini hakuna kinachosemwa.
Nilivyomuona Dotto juzi kule msibani ndio nilikumbuka hili jambo kuwa mambo si shwari sana. Sasa Rais Ulaya ameharibu, Marekani kote, na hili koloni la Marekani Africa mashariki naona mambo si shwari amebaki na ndugu zake Waarabu tu sasa!
Kuna jambo hili linalalamikiwa sana na Serikali ya Kenya kila kukicha serikali imeweka pamba masikioni. Kuna uwindaji wa Tembo wakutisha unafanyika Endulen (kwa wasiojua Endulen ni pori la wanyama lililoko mpakani kati ya Amboseli National park na Tanzania upande wa huko West Kilimanjaro njia ya Sanya juu), so Kwa Kenya ni National park kwa Tanzania ni pori lililoko chini ya WMA.
Sasa jamaa hawa wanaowinda kihalali huua wale Tembo wakumbwa sana wanaitwa Tusker Elephants kule Kenya so pindi wakivuka upande wa Tanzania hawarudi tena, ni bunduki zinalia full time. Kumbuka wanyama hawana border, serikali imepigiwa kelele lakini hakuna kinachosemwa.
Nilivyomuona Dotto juzi kule msibani ndio nilikumbuka hili jambo kuwa mambo si shwari sana. Sasa Rais Ulaya ameharibu, Marekani kote, na hili koloni la Marekani Africa mashariki naona mambo si shwari amebaki na ndugu zake Waarabu tu sasa!