Hii nchi ndio maana Rushwa na Uhalifu hauwezi kuishi sababu ni Nchi ambayo ina Jamii ya watu wa ajabu sana.Tanzania kuwa whistle-blower ni kitanzi, watu wanatetea uhalifu wazi wazi kwakuwa nao ni wahalifu katika nafasi zao, tuna safarei ndefu sana kama taifa!!
Hongera sana mkuu, endelea na moyo huo huo, jamii yetu inahitaji madadiliko makubwa sana!Hii nchi ndio maana Rushwa na Uhalifu hauwezi kuishi sababu ni Nchi ambayo ina Jamii ya watu wa ajabu sana.
Hapa naona asilimia kubwa nashambuliwa badala ya kushambulia Mamlaka ambazo zinamlea Mhalifu. Jamaa anauza Mirungu Hadharani.
Hap
Waambie ukweli mwamba!Mirungi na bangi haimharibu mtu ndo maana kuna nchi zimehalisha. Hakuna kinachoharibu vijana zaidi ya umasikini na ukosefu wa elimu.
Unapotoa taarifa za uhalifu nibora pia ukazingatia haki za mtuhumiwa.mim siamin kua mirungi inachangia ubakaji.labda uweke taarifa vizur amechangia ubakaji vipi?kuna matukio mangapi ya ubakaji huko?lakin pia labda nikueke sawa kua nch hii hakuna mkoa usiouzwa mirungi hata moja.ukumbuke kenyq nihalaliHuyu Jamaa anachangia sana kuharibu Vijana wa Usangi hasa hasa maeneo ya Kijiweni. Mamlak zisaidie kunusuru katika hili.
Haushambuliwi.tatizo letu sis watanzania tunakariri.kenya vinywaji vikali ni haram kwasababu wanajua nguvu kaz inaisha vijana wanakua mataahira.binafs nimewaona wala mirung weng nimeish kenya sijawah kuona mtu anayekula mirung kua taahira kama mnywa gingo na vidaimond.lakin kwakua hawa wa pombe kali wanalipa kod watu tupo kimya.ukienda soba house leo zimejaa wala unga bang na pombe.hutawah kuta mla mirung kule.tatizo la mirung nikumaliza nguvu za kiumetu na maji mwilin.Hii nchi ndio maana Rushwa na Uhalifu hauwezi kuishi sababu ni Nchi ambayo ina Jamii ya watu wa ajabu sana.
Hapa naona asilimia kubwa nashambuliwa badala ya kushambulia Mamlaka ambazo zinamlea Mhalifu. Jamaa anauza Mirungu Hadharani.
Hap
nikweli kabisaSogea Rombo , yaani hapo kenya ni chap wanaleta wanauza kama mchaichai
Na wanauziana kwa connection na code wanaoogopa serikali💤