Utitiri wa Maduka kuuzwa nini chanzo

More Chances

Member
Jun 24, 2022
91
216
Habari wadau
Kipindi hiki kumekuwa na tendency ya watu wengi kuuza maduka yao, Kila nnapotembelea Market place facebook kila baada ya post moja unakuta duka linauzwa.
Maduka mengi yanayouzwa ni ya dawa, nguo, chakula nk.

Je nini chanzo cha maduka mengi kuuzwa kipindi hiki?
 
Mkuu, kuuza biashara ni biashara pia! Unatafuta mtaji Start a business halafu unauza hiyo biashara uliyoanzisha. Ni biashara nzuri sana sababu Kuna watu wanaogopa au hawana ujasiri wa kuanzisha biashara kutoka chini.
 
Back
Top Bottom