Utambuzi wa madini

christopher marian

New Member
Sep 2, 2014
2
0
Habari wadau.......
ndugu wadau nina mawe ya rangi aina ya zambarau ambayo yanapitisha mwanga hadi mwisho sasa sijajua hayo ni madini gani na kila nikiuliza watu kila mtu ananiambia jina lake mwingine aliniambia alexndrite na majina mengine ambayo siyajui kwa kuwa mimi c mtaalamu wa mambo ya madini, hivyo naomba msaada kwenu wadau kwa utambuzi zaidi
 
Maelezo ya tpmazembe ni sawa. Ili upate msaada zaidi, hebu funguka - yamechimbwa kutoka sehemu gani hapa nchini? Ukijua source, ni rahisi kujua aina. Kwa ushauri zaidi, hebu yapeleke aidha Madini Kunduchi pale watakupimia na kukupa jibu sahihi au nenda Tanzania Minerals Agency (TMA),nadhani wako Mikocheni Area, hawa ni wakala wa Serikali watakusaidia kujua ni aina gani, thamani yake hata kukukunganisha na wanunuzi. Kwa maelezo zaidi ni PM.
 
Habari wadau.......
ndugu wadau nina mawe ya rangi aina ya zambarau ambayo yanapitisha mwanga hadi mwisho sasa sijajua hayo ni madini gani na kila nikiuliza watu kila mtu ananiambia jina lake mwingine aliniambia alexndrite na majina mengine ambayo siyajui kwa kuwa mimi c mtaalamu wa mambo ya madini, hivyo naomba msaada kwenu wadau kwa utambuzi zaidi

Ni pm nikupe whatsapp number unilushie picha
 
Back
Top Bottom