Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 630
- 1,293
- Thread starter
- #21
huenda ikawa sababuWenye hela hawajioneshi wataonekana wanaringa
huenda ikawa sababuWenye hela hawajioneshi wataonekana wanaringa
machizi wanakuja kwa kasi wakisha chimba wanasepa.JF ni chaka la maana sana. Bila hii ningekutana wapi na kaka mzuri mimi? Hata katika maisha ya kawaida sehemu anazoenda sikanyagi... kwa kipi? Ni Mungu tu.
Naunga mkono hoja 100%
Mimi ni mkweli, kama nataka kusema jambo nasema bila kuficha.Nifah utakuja tena kutusimulia kuhusu yeye soon na ID mpya haha
Kwingine yalikuwa maigizo na ulimbukeni wa utoto, sasa ndio napenda kweli.Ninachokupendea unajua kupenda na kujivunia. Hongera kwa kaka Mzuri.
Alaaa sasa si umuombe ruhusa ili uje usimulie, atakubali bwana as long as you hide hid IDMimi ni mkweli, kama nataka kusema jambo nasema bila kuficha.
Akiniruhusu nitawasimulia, ni love story moja ya karne!
Uliza basi uambiwe, huyu ninayemuongelea tunaenda mwaka wa 8 huu wa kufahamiana achilia mbali kuwa wapenzi.machizi wanakuja kwa kasi wakisha chimba wanasepa.
ngoja waje majuha.
Wala hana shida, tumsikilizie akitoa go ahead nakiwasha.Alaaa sasa si umuombe ruhusa ili uje usimulie, atakubali bwana as long as you hide hid ID
Watag tu
Ni kweli kabisaNaweza kukubaliana na tafiti yako mkuu.
Ujue wengi wetu tumeijua vyedi jf baada ya kusearch google mambo mengi unakuta inakudirect jf, so mtu unakua curious kuijua hiyo jf.
Sasa mtu ambae hasearch google(wengi wasio na elimu na sababu ya kusearch google) sio rahisi kuijua hii platform.
Kumbuka kuni-tag mkuu I promise ntakuwa katibu wa uziWala hana shida, tumsikilizie akitoa go ahead nakiwasha.
This is too offensive, violence, mods ban this guy!amekuoa?au kama kawaida yako unachezewa tuu?😕😕😕
you guyMsemaji Nimetangulia Mwenyekiti Anakaribia Kuwasili Afikapo Tunaomba Apokelewe Kwa Makofi.
how did you call me? lady? am I a lady?for what lady?😕😕😕
Nilijua JF baada ya kua redirected Google kipindi hicho na search mbili tatu kuhusu, udahili wa chuo, kozi gani nzuri, Boom, n.k..
Punguzeni ku andika vitu vya kipuuzi wa Search nyeto wasiwe redirected huku.
Karma is really bro, learn how to have respect to strangers!by lady😕😕