mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Naona wewe bado haumfahamu Benzema!Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.