Ushauri: TRA ifanye hivi kuongeza mapato

guojr

Member
Dec 4, 2015
56
82
Habari za wakati huu wadau wa maendeleo, leo nimekuja tena kuangazia namna TRA inaweza kuchukua hatua ili iweze kuongeza ukusanyaji wa mapato nchini. Kama tunavyojua kodi ndio inayotumika kufanya maendeleo na kugharamia shughuli za kila siku za serikali, lakini TRA inashindwa kukusanya mapato ya kutosha licha ya nchi kuwa na idadi kubwa ya biashara na watu.

Kwakuweka rekodi sawa, mimi sio mtaalam wa uchumi bali ni mtazamo na mchango wangu katika kusaidia mawazo. Nimeandika makala kadhaa moja ikiwahusu TRA iliyonifanya nishinde shindano la SoC2021, hivyo basi huu ni muendelezo wa makala zangu.

TRA INAKABILIWA NA CHANGAMOTO HIZI

1. Wafanyabiashara kutotaka kutumia mashine za EFD na kutoa risiti halali za malipo.
Kwa uelewa wangu, moja ya sababu nilizozisikia ni wafanyabiashara kulalamika kuwa gharama za EFD Machine kuwa kubwa, lakini hapohapo utashangaa kwa wenye nazo hutoa visingizio mbalimbali ili tu wasikupe risiti au wapo radhi wapunguze bei kwenye bidhaa au huduma husika. Hivyo basi sababu ya gharama ya mashine ya EFD inaoesha wazi sio sababu ya msingi bali kuna kitu kingine ambacho wafanyabiashara wanakikwepa.

2. Wananchi kutotilia maanani kudai risiti halali wakati wa manunuzi ya huduma au bidhaa.
Kwa updande wa wananchi kupuuzia kudai risiti halali ya malipo yaliyofanyika sijajua changamoto ni nini au labda hawana sababu ya kuchukua kwakua achukue au asichue hakuna utofauti. ila wananchi wenzangu kutodai risiti kunaikosesha serekali mapato.

TRA NA SEREKALI IAMUE KUFANYA HIVI ILI KUONGEZA MAPATO

1. Serekali iamue kutengeneza mfumo wa tehama utakao unganisha taarifa za wananchi na wafanyabiashara na ufanyekazi kama ifuatavyo.
Mwanachi atakapoenda kununua bidhaa au huduma, mfanyabiashara atatumia mfumo nilioutaja hapo juu kupita App ya TRA kuingiza manunuzi husika na risiti itatumwa kwanjia ya ujumbe mfupi wa maneno. Mfumo utamrudishia mwananchi 1% ya kodi(VAT) aliyotozwa kwenye manunuzi husika. Njia hii itawafanya wananchi wapendelee kudai risiti kwasababu wanajua watarudishiwa 1% ya kodi aliyochangia na hatimae kuifanya serekali kuongeza mapato. Najua kutakua na mswali mengi, nimeshindwa kuelezea kilakitu jinsi mfumo utakavyofanyakazi hivyo nitajibu maswali kadiri nitakavyoweza.

2. Elimu kwa walipa kodi hasa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno au sponsored Ads. Sikumbuki kama niliwahi kutumiwa ujumbe na TRA wa kunisisitiza kudai risiti ninapofanya manunuzi kama taasisi nyingine zinavyofanya kama TCRA au POLISI huwa wanatuma sana SMS.

3.Kuacha kutumia hardware za EFD bali kutumike Web au Mobile App au ikiwezekana USSD kukamilisha manunuzi na mnunuaji kutumiwa ujumbe papohapo wa risiti halali.

Hivyo basi wananchi wenzangu tuendelee kulipa kodi kwa maendeleo ya nchi yetu, tusisubiri kufadhiliwa na mataifa mengine au serekali kukopa fedha.

Naomba kuwasilisha hoja sasa.
 
1. Simple to collect.
2. East to understand
3.cheap to collect
4.should be progressive tax
5.convinient to collect.
Etc, katika suggestion yako huo mfumo unaingia katika hizo sifa za good taxation system?
 
1. Simple to collect.
2. East to understand
3.cheap to collect
4.should be progressive tax
5.convinient to collect.
Etc, katika suggestion yako huo mfumo unaingia katika hizo sifa za good taxation system?
Ndio
 
TRA inajua njia nyingi sana za kukusanya mapato shida iko kwenye siasa.

Siasa inachelewesha sana maendeleo ya nchi hii.
 
Elezea zinaingia je, raia wangapi wanajua IT
Kwenye huu mfumo kinachobadilika ni kuwa mfanyabiashara hatatumia machine EFD bali atajza taarifa za ununuzi kwenye mfumo kama kwenye EFD ikiwemo na namba ya simu ya anayenunua then aki submit mteja anatumiwa sms ya risiti yake.
 
Kwenye huu mfumo kinachobadilika ni kuwa mfanyabiashara hatatumia machine EFD bali atajza taarifa za ununuzi kwenye mfumo kama kwenye EFD ikiwemo na namba ya simu ya anayenunua then aki submit mteja anatumiwa sms ya risiti yake.
Unajua kwamba 90% ya wafanya biashara wetu ni darasa la saba wengi hawajui kuandika kwenye mitandaoni na hawataki kuajiri wssomi.......
 
Habari za wakati huu wadau wa maendeleo, leo nimekuja tena kuangazia namna TRA inaweza kuchukua hatua ili iweze kuongeza ukusanyaji wa mapato nchini. Kama tunavyojua kodi ndio inayotumika kufanya maendeleo na kugharamia shughuli za kila siku za serikali, lakini TRA inashindwa kukusanya mapato ya kutosha licha ya nchi kuwa na idadi kubwa ya biashara na watu.

Kwakuweka rekodi sawa, mimi sio mtaalam wa uchumi bali ni mtazamo na mchango wangu katika kusaidia mawazo. Nimeandika makala kadhaa moja ikiwahusu TRA iliyonifanya nishinde shindano la SoC2021, hivyo basi huu ni muendelezo wa makala zangu.

TRA INAKABILIWA NA CHANGAMOTO HIZI

1. Wafanyabiashara kutotaka kutumia mashine za EFD na kutoa risiti halali za malipo.
Kwa uelewa wangu, moja ya sababu nilizozisikia ni wafanyabiashara kulalamika kuwa gharama za EFD Machine kuwa kubwa, lakini hapohapo utashangaa kwa wenye nazo hutoa visingizio mbalimbali ili tu wasikupe risiti au wapo radhi wapunguze bei kwenye bidhaa au huduma husika. Hivyo basi sababu ya gharama ya mashine ya EFD inaoesha wazi sio sababu ya msingi bali kuna kitu kingine ambacho wafanyabiashara wanakikwepa.

2. Wananchi kutotilia maanani kudai risiti halali wakati wa manunuzi ya huduma au bidhaa.
Kwa updande wa wananchi kupuuzia kudai risiti halali ya malipo yaliyofanyika sijajua changamoto ni nini au labda hawana sababu ya kuchukua kwakua achukue au asichue hakuna utofauti. ila wananchi wenzangu kutodai risiti kunaikosesha serekali mapato.

TRA NA SEREKALI IAMUE KUFANYA HIVI ILI KUONGEZA MAPATO

1. Serekali iamue kutengeneza mfumo wa tehama utakao unganisha taarifa za wananchi na wafanyabiashara na ufanyekazi kama ifuatavyo.
Mwanachi atakapoenda kununua bidhaa au huduma, mfanyabiashara atatumia mfumo nilioutaja hapo juu kupita App ya TRA kuingiza manunuzi husika na risiti itatumwa kwanjia ya ujumbe mfupi wa maneno. Mfumo utamrudishia mwananchi 1% ya kodi(VAT) aliyotozwa kwenye manunuzi husika. Njia hii itawafanya wananchi wapendelee kudai risiti kwasababu wanajua watarudishiwa 1% ya kodi aliyochangia na hatimae kuifanya serekali kuongeza mapato. Najua kutakua na mswali mengi, nimeshindwa kuelezea kilakitu jinsi mfumo utakavyofanyakazi hivyo nitajibu maswali kadiri nitakavyoweza.

2. Elimu kwa walipa kodi hasa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno au sponsored Ads. Sikumbuki kama niliwahi kutumiwa ujumbe na TRA wa kunisisitiza kudai risiti ninapofanya manunuzi kama taasisi nyingine zinavyofanya kama TCRA au POLISI huwa wanatuma sana SMS.

3.Kuacha kutumia hardware za EFD bali kutumike Web au Mobile App au ikiwezekana USSD kukamilisha manunuzi na mnunuaji kutumiwa ujumbe papohapo wa risiti halali.

Hivyo basi wananchi wenzangu tuendelee kulipa kodi kwa maendeleo ya nchi yetu, tusisubiri kufadhiliwa na mataifa mengine au serekali kukopa fedha.

Naomba kuwasilisha hoja sasa.
njia rahisi ni kuacha kutumia cash katika kulipia bidhaa au huduma
 
Unajua kwamba 90% ya wafanya biashara wetu ni darasa la saba wengi hawajui kuandika kwenye mitandaoni na hawataki kuajiri wssomi.......
kwahiyo unataka kusema EFD machine pia hawawezi kuzitumia? Maana kwenye mfumo anachojaza ni bidhaa, bei na namba simu ya mteja tu. Kama ambavyo angejaza kwenye EFD machine.
 
kwahiyo unataka kusema EFD machine pia hawawezi kuzitumia? Maana kwenye mfumo anachojaza ni bidhaa, bei na namba simu ya mteja tu. Kama ambavyo angejaza kwenye EFD machine.
Efd mashine hazina maelezo megi na wadarasa la pili anaweza kuzitumia
 
Efd mashine hazina maelezo megi na wadarasa la pili anaweza kuzitumia
Taarifa anazojaza kwenye EFD ndio hizo hizo atajaza kwenye App ya TRA utofauti ni kuwa kwenye EFD aki submit inatoka risiti ya karatasi ila kwenye huu mfumo utatuma sms automatically kwa mteja simple as that
 
Habari za wakati huu wadau wa maendeleo, leo nimekuja tena kuangazia namna TRA inaweza kuchukua hatua ili iweze kuongeza ukusanyaji wa mapato nchini. Kama tunavyojua kodi ndio inayotumika kufanya maendeleo na kugharamia shughuli za kila siku za serikali, lakini TRA inashindwa kukusanya mapato ya kutosha licha ya nchi kuwa na idadi kubwa ya biashara na watu.

Kwakuweka rekodi sawa, mimi sio mtaalam wa uchumi bali ni mtazamo na mchango wangu katika kusaidia mawazo. Nimeandika makala kadhaa moja ikiwahusu TRA iliyonifanya nishinde shindano la SoC2021, hivyo basi huu ni muendelezo wa makala zangu.

TRA INAKABILIWA NA CHANGAMOTO HIZI

1. Wafanyabiashara kutotaka kutumia mashine za EFD na kutoa risiti halali za malipo.
Kwa uelewa wangu, moja ya sababu nilizozisikia ni wafanyabiashara kulalamika kuwa gharama za EFD Machine kuwa kubwa, lakini hapohapo utashangaa kwa wenye nazo hutoa visingizio mbalimbali ili tu wasikupe risiti au wapo radhi wapunguze bei kwenye bidhaa au huduma husika. Hivyo basi sababu ya gharama ya mashine ya EFD inaoesha wazi sio sababu ya msingi bali kuna kitu kingine ambacho wafanyabiashara wanakikwepa.

2. Wananchi kutotilia maanani kudai risiti halali wakati wa manunuzi ya huduma au bidhaa.
Kwa updande wa wananchi kupuuzia kudai risiti halali ya malipo yaliyofanyika sijajua changamoto ni nini au labda hawana sababu ya kuchukua kwakua achukue au asichue hakuna utofauti. ila wananchi wenzangu kutodai risiti kunaikosesha serekali mapato.

TRA NA SEREKALI IAMUE KUFANYA HIVI ILI KUONGEZA MAPATO

1. Serekali iamue kutengeneza mfumo wa tehama utakao unganisha taarifa za wananchi na wafanyabiashara na ufanyekazi kama ifuatavyo.
Mwanachi atakapoenda kununua bidhaa au huduma, mfanyabiashara atatumia mfumo nilioutaja hapo juu kupita App ya TRA kuingiza manunuzi husika na risiti itatumwa kwanjia ya ujumbe mfupi wa maneno. Mfumo utamrudishia mwananchi 1% ya kodi(VAT) aliyotozwa kwenye manunuzi husika. Njia hii itawafanya wananchi wapendelee kudai risiti kwasababu wanajua watarudishiwa 1% ya kodi aliyochangia na hatimae kuifanya serekali kuongeza mapato. Najua kutakua na mswali mengi, nimeshindwa kuelezea kilakitu jinsi mfumo utakavyofanyakazi hivyo nitajibu maswali kadiri nitakavyoweza.

2. Elimu kwa walipa kodi hasa kwa njia ya ujumbe mfupi wa maneno au sponsored Ads. Sikumbuki kama niliwahi kutumiwa ujumbe na TRA wa kunisisitiza kudai risiti ninapofanya manunuzi kama taasisi nyingine zinavyofanya kama TCRA au POLISI huwa wanatuma sana SMS.

3.Kuacha kutumia hardware za EFD bali kutumike Web au Mobile App au ikiwezekana USSD kukamilisha manunuzi na mnunuaji kutumiwa ujumbe papohapo wa risiti halali.

Hivyo basi wananchi wenzangu tuendelee kulipa kodi kwa maendeleo ya nchi yetu, tusisubiri kufadhiliwa na mataifa mengine au serekali kukopa fedha.

Naomba kuwasilisha hoja sasa.
Hakutakua na utofauti kama mtu akitumia efd machine na website kwaasababu mwenye bidhaa hiyo ndio ataamua maan yey ndo atajaza bei ya iiyo bizaa hapo ujatatua tena mdo utakua umeongeza tatizo
 
Hakutakua na utofauti kama mtu akitumia efd machine na website kwaasababu mwenye bidhaa hiyo ndio ataamua maan yey ndo atajaza bei ya iiyo bizaa hapo ujatatua tena mdo utakua umeongeza tatizo
Kwasababu utapata sms ya risiti papohapo, utaona bei aliyokuandikia ikiwa tofauti unamwambia akuandikie ya kiasi kilicho pungua papohapo
 
Kodi sio chanzo pekee za kupata pesa ya kuendeshea nchi bali ni tools ya kuwafanya wananchi wazidi kuwa masikini ili watawaliwe vizuri.
Mtu akishiba huwezi mtawala.
Hatulipi Kodi kwa sababu zinatumika vibaya makonda anatembelea msafara WA gari 200 kwenda kuuza sura kwa walipa Kodi,Mafisadi wapo juu ya Sheria hawachukuliwi hatua baada ya CAG kuanika ngonjera za upigaji,Kodi zinaenda kununua v8 za kubebea viongozi kazini,ibadani na watoto shuleni.
Kodi komozi Kodi kubwa makusanyo kiduchu.
Kodi ikiwa nafuu hakuna atakaeikwepa.
Gari ni kitega uchumi lakini cheki kodi yake ni kuwakomoa wengi wasimiliki.
 
Ipi nafuu Bei ni mbili ya risiti ni laki Tano ya bila risiti ni laki nne uamuzi ni wako.
Kama tunanufaika na Kodi unaachaje kuilipa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom