Tupe mchanganua wa kujenga kwa laki tano!!!
Chakula asubuhi mchana na usiku sio chini ya 10,000 X 30
300,000
Nauli 3000 X 25
75,000
Chumba single 60,000
Vocha 30,000
Maji, umeme, dawa ya meno sabuni na takataka nyingine 50,000
Hapo hujavaa, hujaonga , sadaka kama uko na wadogo au wategemezi.
Kwa laki tano ukijenga wewe ni mtenda miujiza zaidi ya mchungaji kiboko ya wachawi