Inatosha, sema mkoa uliopo wadau watakupa ushauri.Hela yangu hiyo hapo naomba ushauri kama hela inatosha
Kahonge tu hayo madafu upate utamu badalaKama nilivoeleza hapo juu .Hela yangu hiyo hapo naomba ushauri kama hela inatosha au nisubir kwanza
Acheni kumpotosha jamaa bure. Kuweni wa kweli.Inatosha, sema mkoa uliopo wadau watakupa ushauri.
Inatosha si kila anaenza biashara lazima aanza na mamilioniAcheni kumpotosha jamaa bure. Kuweni wa kweli.
Haaamnaaa banaInatosha si kila anaenza biashara lazima aanza na mamilioni
Upo sahihi sana mkuu.Hakuna pesa inamtosha mfanyabiasharaa anza utupe marejesho..
Biashara imaniKama nilivoeleza hapo juu .Hela yangu hiyo hapo naomba ushauri kama hela inatosha au nisubir kwanza