1. Nakumbuka walivyotuaminisha kuhusu NGOMA na tulivyoambiwa wamemuiba Air port tukajua jamaa ni viwango vya Ronaldo.
Tulichoshuhudia MUNGU anajua.
2. Kwa sisi tuliosoma historia ya Ukuta wa Babeli tulijua tumepata Mwamba kwelikweli, lakini tulichokishuhudia kwa huyu CHE MALON hakika Mungu anawaona.
3. Tuliposikia kuwa ni Samuel Etoo ndie aliwashauri kumsajili ONANA kwa kweli tulijisemea mioyoni kuwa Simba inatakiwa kumuombea ulinzi wa serikali.
Kumbe Etoo aliyeshauri ni huyu mchambuzi mswahili anayejiita Alex NGEREZA
IMAGINE Ahmed Ali na wenzake itokee wateuliwe na serikali kuwa wajumbe wa mambo ya maafa ITAKUAJE hapo. Ni hatari maana wanaweza kuwaaminisha wananchl UONGO hadi kusombwa na mafuriko.
Tulichoshuhudia MUNGU anajua.
2. Kwa sisi tuliosoma historia ya Ukuta wa Babeli tulijua tumepata Mwamba kwelikweli, lakini tulichokishuhudia kwa huyu CHE MALON hakika Mungu anawaona.
3. Tuliposikia kuwa ni Samuel Etoo ndie aliwashauri kumsajili ONANA kwa kweli tulijisemea mioyoni kuwa Simba inatakiwa kumuombea ulinzi wa serikali.
Kumbe Etoo aliyeshauri ni huyu mchambuzi mswahili anayejiita Alex NGEREZA
IMAGINE Ahmed Ali na wenzake itokee wateuliwe na serikali kuwa wajumbe wa mambo ya maafa ITAKUAJE hapo. Ni hatari maana wanaweza kuwaaminisha wananchl UONGO hadi kusombwa na mafuriko.