banburydude
Member
- Jul 8, 2019
- 49
- 66
Wana jamvi wenzangu, Nina usafiri wangu binafsi natafuta abiria, tuwasiliane kama unahitaji au kuniunganisha kwa mhitaji % ipo, nipo Mbezi Makonde Dar es salaam..
Contact 0787711528.
Contact 0787711528.
Hivi Bunazi iko kemondo au kyaka MissenyiWeka Mambo Hadharani Upopatikana Wapi Na Gharama Za Usafiri Kwa Umbali Ama Makubaliano
Mtu Anaweza Kuwa Bunazi Huko Kemondo Bay Akitaka Usafiri Inakuwaje
Ama Kayanga, Omurushaka
Igangabhilili, Itilima
Ipo Hapo Kemondo Kwa Bashiru Ally KakurwaHivi Bunazi iko kemondo au kyaka Missenyi
Kumbe lakini pia Wilaya missenye iko sehemu inaitwa Bunazi.......hivi huyu Bashiru Ally kakurwa ni Mrundi au Mnyarwanda? huku Dar anatuchanganya....Ipo Hapo Kemondo Kwa Bashiru Ally Kakurwa
Kyaka Ndiyo Ipo Misenyi Kabla Hujavuka Mto Kagera
😂🤣😅😀Tanzania Pagumu Sana YaaniKumbe lakini pia Wilaya missenye iko sehemu inaitwa Bunazi.......hivi huyu Bashiru Ally kakurwa ni Mrundi au Mnyarwanda? huku Dar anatuchanganya....
Faragha, bei, usalama ndiyo Siri ya mafanikio kwenye biashara ya kukodisha magari.
Taja aina ya Gari.
Taja mahali ulipo. Unapatikanaje?
Taja uzowefu wako wa kuendesha gari.
Taja jinsia yako/ kama hautojali na umri wako pia.
Umesajiliwa kusafirisha abiria?
Gari yako Ina bima ya aina gani?
Sijawahi kujua kama neno 'nijuze' ni neno sahihi katika lugha yetu adhimu ya kiswahili. Labda 'nijulishe' ?