AnaotaShida iko wapi sasa?
AnaotaShida iko wapi sasa?
Atapewa uDC apoze njaaNdio maaana hata akiulizwa sababu za kuhama anakosa..hadi anatia huruma ….sasa atulie amzalie Doto ..mana kuzeeka kunakuja ….
terero…..Siku hizi yee ndiye official bi mdogo ….
Ufipa st ni nyumba ya kupanga bwasheeLa Ufipa st au Mikocheni?
Ukiachwa achika sasa alitaka zikanunue nini? By the way anasema makato yao ni kwa mujibu wa katibaAliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Mmmhhh maneno hayoUkiachwa achika sasa alitaka zikanunue nini? By the way anasema makato yao ni kwa mujibu wa katiba
Shida Iko wapi?Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti maalum na Wabunge wa Kawaida
Peneza amesema ilifika Wakati waliionea aibu nyumba ile ya mtaa wa Ufipa ndipo ikaamuliwa litafutwe Jengo lenye hadhi
Michango yetu kama Wabunge pamoja na Ruzuku inazidi tsh 5 billion kwa msimu wa 2015 - 2020 amesisitiza mh Upendo Peneza Msuya
Kwa sasa Upendo Peneza amehamia CCM kwenye Maisha Bora kwa Kila Mtanzania
Umepigaje hapo? Wakili unapiga spana..pia aeleze V-8 za Ccm zinanunuliwa kwa ruzuku.
..Na fedha zinazotumika kununua wapinzani ni ruzuku.
..vyote hivyo ni mazao ya kodi na tozo.