Update kesi ya Bandari: Majibu ya mawakili wa wananchi, waleta maombi leo Julai 28, 2023

upuuzi mtupu,
DPW wameshaingia na maandalizi yanaendelea....nyie potezeni muda huko kwenye kubishana or mkataba na makubaliano nini.

waelemishwe tofauti kati ya mkataba na makubaliano.
kazi iendeleee
Wakili mmoja amefafanua kuwa kwenda mahakamani ni njia sahihi ya Wananchi kusikilizwa hasira zao kuliko kuwapuuza na baadaye ilazaliwa ghasia. AFRIKA Kusini Makaburu wakikataa kwa miaka mingi kusikiliza hasira za kuonewa, hatimae ghasia kuu iliyoambatana na mauaji ya kutisha ilitokea Soweto. CCM puuzeni tu na kuiita njia hii sahihi ya Wananchi kwenda mahakamani kuwa ni upuuzi halafu huko mbele kutokee SOWETO nyingine. Kwa kuwa mmenogewa na wizi, shupazeni shingo, lakini mbele Kuna Giza.
 
Jaji: Kwa kile mlichokionyesha, sisi tumeona the highest level of professionalism namshukuru sana.
Kuna nyakati ukiangalia utendaji wa watumishi serikalini utafikiri nchi hii haina watu wenye akili timamu; lakini ukweli ni kwamba kuna maeneo mengi sana ndani ya nchi hii kuna watendaji wenye uwezo mkubwa sana katika maeneo yao ya taaluma, ila hawaonekani, au hawapewi fursa ya kuonyesha uwezo wao huo

Unapokuja kwenye kesi kama hizi mahakamani, na kuona hawa mawakili wanavyotumia elimu yao vizuri kabisa, unaanza kujiuliza kwa nini huko kwingine nako wahusika wa hayo maeneo mengine tusione juhudi zao?

Uamini wangu ni kwamba, kitu pekee sasa tunachokikosa kama taifa, ni uongozi wa kupangilia vizuri huu uwezo wetu mkubwa tulionao ili tuweze kuutumia ipasavyo.

Katika maeneo mengi sana sasa hivi hatuhitaji kabisa kutafuta misaada toka nje kuja kutuendeshea shughuli tunazoweza kuzifanya kwa ufanisi sisi wenyewe kwa kutumia vipaji vya wataalam wetu waliopo hapa kwetu

Tunakosa utashi wa kisiasa tu kufanya makubwa katika nyanja ya maendeleo ya nchi yetu sisi wenyewe.

Kwa mfano: Mdude_Nyagali kaonyesha hapa hapa, kwamba anao uwezo amabo wengi hatuna, lakini badala ya kuutumia uwezo wake huu kwa faida ya taifa letu, kazi yake kubwa imekuwa ni kufukuzana na polisi na kuishi mahabusu!
 
Ni heshima kubwa kwa mawakili wote kwa kuongea kitaaluma na staha kubwa.

Mungu aamue kwa haki.
Atuokoe na hila za Maadui wa Uhuru wetu.
Wakati huo huo CCMwamekazana na ngonjera zao mikoani kuhubiri mkataba huu una faida kubwa, kama una faida kwa Nini bandari za Zanzibar hazimo, Kwani wao faida hawataki?
 
Kuna nyakati ukiangalia utendaji wa watumishi serikalini utafikiri nchi hii haina watu wenye akili timamu; lakini ukweli ni kwamba kuna maeneo mengi sana ndani ya nchi hii kuna watendaji wenye uwezo mkubwa sana katika maeneo yao ya taaluma, ila hawaonekani, au hawapewi fursa ya kuonyesha uwezo wao huo

Unapokuja kwenye kesi kama hizi mahakamani, na kuona hawa mawakili wanavyotumia elimu yao vizuri kabisa, unaanza kujiuliza kwa nini huko kwingine nako wahusika wa hayo maeneo mengine tusione juhudi zao?

Uamini wangu ni kwamba, kitu pekee sasa tunachokikosa kama taifa, ni uongozi wa kupangilia vizuri huu uwezo wetu mkubwa tulionao ili tuweze kuutumia ipasavyo.

Katika maeneo mengi sana sasa hivi hatuhitaji kabisa kutafuta misaada toka nje kuja kutuendeshea shughuli tunazoweza kuzifanya kwa ufanisi sisi wenyewe kwa kutumia vipaji vya wataalam wetu waliopo hapa kwetu

Tunakosa utashi wa kisiasa tu kufanya makubwa katika nyanja ya maendeleo ya nchi yetu sisi wenyewe.

Kwa mfano: Mdude_Nyagali kaonyesha hapa hapa, kwamba anao uwezo amabo wengi hatuna, lakini badala ya kuutumia uwezo wake huu kwa faida ya taifa letu, kazi yake kubwa imekuwa ni kufukuzana na polisi na kuishi mahabusu!
Inasikitisha sana kuaminishwa Mdude ni mtu hatali!!! The man of the people is an enemy of the police. So sad!
 
Je kuna nafasi ya kukata rufaa kwenye Mahakama ya rufaa?.
Court of appeal ndio mahakama ya Tanzania, na ukifika huko court inakaa full bench majaji 7 wakiongozwa na Maji mkuu.

Lakini kwa nini tufike huko kwa vitu ambacho viko wazi ni batili?

Kwakuwa mama kwa kunywa chake alitamka mahakama huwa inaingiliwa kwenye maamuzi sasa ni wakati wa Majaji kurudisha heshima ya Mahakama ya Tanzania kama majaji wa Kenya walivyorudisha heshima yao kwa kuufuta ule uchaguzi wa Rais wa second term ya Uhuru Kenyatta.

Majaji wetu na muhimili wa mahakama hii ni penalty mmepewa mkipaisha dhambi hii iwatafune nyinyi na vizazi vyenu 7.

Ila binafsi sina imani na Jaji mkuu huyu ni chawa tangu enzi za utawala wa giza wa Chato, na mama amemfanyia hisani ya kumuongezea muda wa utumishi, mnaweza kuliona tatizo hapo very clear.
 
Mungu awalinde hawa wahehe na wanyakyusa toka mbeya na Iringa. Asiwasahau wakristo na waislamu wenye nia njema ya kuokomboa nchi hii. Heshima na hadhi yao itazidi ya Nyerere aliyetuunganisha na majahili, nakuja wasiojielewa na wenye kujikomba kwa waarabu milele. Mijitu inamnyenyekea mwarabu mpaka akili wanaziweka makalioni mbwa Koko kabisa hao
hili swala sio la wanyakyusa na wahehe, kama lingekuwa lao wasingeomba watanganyika wote wachangie. Tabia za kijinga kama hizi ndio zinasababisha CCM wafanye madudu Yao kwa kumsingizia udini au jinsia.
haya ni mapambano ya kudai Tanganyika ndio maana hata mwasisi Mtikila amenukuliwa kwenye kesi zake.
 
Inasikitisha sana kuaminishwa Mdude ni mtu hatali!!! The man of the people is an enemy of the police. So sad!
Mimi ni mpenda haki, lakini Mdude mdomo wake hauna breki.

Akiweza kuyafanyia kazi mapungufu yake haya makubwa atakuwa mwanasiasa mzuri, hakuna excuse yeyote kukosa adabu kwa Rais, wanasiasa wote radical wajifunze kwa Freeman Mbowe, huyu Kamanda ni stateman, anapoongea huna mashaka na sentensi itakayofuata itakuwaje.

Mdude ajifunze kuheshimu viongozi wakuu, Mimi siwataki kabisa Ccm lakini Mdude hayuko sawa.

Ila kwa thread hii utashangaa kwamba ni mdude yeye kweli aliyetuletea huu mtiririko mzuri au amecopy?
 
Waupuuzi mtupu,
DPW wameshaingia na maandalizi yanaendelea....nyie potezeni muda huko kwenye kubishana or mkataba na makubaliano nini.

waelemishwe tofauti kati ya mkataba na makubaliano.
kazi iendeleee
Wameingiaje wakati tuliambiwa wakisainiana HGA ndio tutajua kila kitu.
 
Kwa yeyote anayejua kuomba mwislamu au mkiristo tuwaombee hawa majaji wanaenda kufanya maamuzi au kutoa hukumu kwani wakisimama kwenye haki taifa letu kwa mara ya kwanza judiciary itavunja record kwa kusema mkataba ni Batali.. .
Uzuri Mungu aliturahisishia kazi kwa kumfanya Rostam aongee ya moyoni kuhusu Judiciary System ya Tanzania. Hivyo, Majaji watatenda haki ili utukufu wa Mungu uendelee kung'ara.
 
Wakili mmoja amefafanua kuwa kwenda mahakamani ni njia sahihi ya Wananchi kusikilizwa hasira zao kuliko kuwapuuza na baadaye ilazaliwa ghasia. AFRIKA Kusini Makaburu wakikataa kwa miaka mingi kusikiliza hasira za kuonewa, hatimae ghasia kuu iliyoambatana na mauaji ya kutisha ilitokea Soweto. CCM puuzeni tu na kuiita njia hii sahihi ya Wananchi kwenda mahakamani kuwa ni upuuzi halafu huko mbele kutokee SOWETO nyingine. Kwa kuwa mmenogewa na wizi, shupazeni shingo, lakini mbele Kuna Giza.
hasira au UNAFIKI tu, hakuna hasira bali ni unafiki na uzandiki.

ni tanzania pekee ndio kuna kituko cha kesi ya kupinga maendeleo ya nchi.

hao ndio mawakili walio soma ambao wanashindwa hata kutofautisha kati ya "makubaliano" na "makataba"!!! elimu ndogo isiyo na tija.

kweli kwenda mahakamani ni jambo la msingi lakini kwenda kudai mambo ya kipuuzi ni kuisumbua mahakama bureee
 
hasira au UNAFIKI tu, hakuna hasira bali ni unafiki na uzandiki.

ni tanzania pekee ndio kuna kituko cha kesi ya kupinga maendeleo ya nchi.

hao ndio mawakili walio soma ambao wanashindwa hata kutofautisha kati ya "makubaliano" na "makataba"!!! elimu ndogo isiyo na tija.

kweli kwenda mahakamani ni jambo la msingi lakini kwenda kudai mambo ya kipuuzi ni kuisumbua mahakama bureee
Maendeleo hayaletwi na mgeni. Ukiona kuna mwanaume analisha familia yako kubali kukaa nafasi moja na mkewe
 
Kwa hizo hoja hapo czan hata mahakama inaweza ruka,huo n mtego mkubwa sana hongera sana mdude kwa kutuhabarisha vyema,tunakutegemea sana kutuhabarisha
 
Inasikitisha sana kuaminishwa Mdude ni mtu hatali!!! The man of the people is an enemy of the police. So sad!
Mkuu 'maneka', naomba nieleweke bila ya mkanganyiko wowote ule, kwamba lawama sizielekezi kwa Mdude, bali kwa hao wanaolazimika kuwatumia polisi kutaka kumnyamazisha 'Mdude'.
 
wabongo wezi sana, wapiga dili, tulia DP waje wazibe chochoro za wizi na dili ufe njaa
Nani kakwambia wanakuja kukuchungia mkeo mtembezi. Wanakula nae tu hahaha. Labda uwe manunu wa mapambo lakini kama binadamu ji mijeledi kwenda mbele na kutukanwa matusi ya nguoni.
 
wabongo wezi sana, wapiga dili, tulia DP waje wazibe chochoro za wizi na dili ufe njaa
Unajiita mwizi halafu mtu akuheshimu eti uketi nae kwenye kiti cha misosi..utakula dona mpaka siku utakapojitambua. Unajiita chawa kweli.
 
Back
Top Bottom