Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Manake ni hiyohiyo unayoijua wewe Foxy"albadili" ndiyo nini?
Manake ni hiyohiyo unayoijua wewe Foxy"albadili" ndiyo nini?
Tatizo lenu hua mnaleta ubaguzi wa hovyo sana, kujitenga na kutengeneza ka_ uadui ka kijinga. Mimi naunga mkono kubomoa na ningekua karibu hapo ningeshiriki zoezi kikamilifu kabisa. Mkitaka kuswali nendeni sijui mnapaita Makulu au mjini. Shenzy kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siijuwi hiyo "albadili" nifahamishe.Manake ni hiyohiyo unayoijua wewe Foxy
Ulikuwa na sababu gani kwanza hadi ukaipost hiyo aya hapa?Weka link ya swali lako au ulikuja kwa id tofauti?
Vipi hiyo aya imekuingia?
Bro nimehitimu Udom. Former VC Mr Idris Kikula nd DVC finance Mlacha. Walikua wadini balaa nakumbuka mwaka 2011. Walimteua Bw mmoja anatwa Issa awe Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi.
Wakampa directive wagombea wote wawe Waislamu tu nae akakata Wakristo wote akaacha mmoja fala hivi wa CCM akijua wanachuo hawachagui pro CCM ikatokea ghasia kubwa kati ya waslamu na Wakristo wanafunzi walijeruhiana sana.
Ni vile watu wa state walizuia media kuripoti na social media hazikuwa na nguvu kama Leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Muislamu wa ukweli tu, lakini siamini kwamba Mwislamu ndiyo mtu bora kumshinda binadamu mwingine. Waislamu tunaamini kwamba sisi ndiyo tunastahili kila lililo jems kushinda wanavyostahili makafiri.Iam very doubtful if you a genuine muslim, if you are then you are a kaput in the matters concerning your religion.
Huwezi kusoma katika Qur'an na Hadithi msisitizo wa swala ulivyotajwa katika Uislamu na upinge njia zozote zitakazo wezesha watu kupata njia rahisi zitazowafanya waweze kutekeleza ibada ya swala kirahisi halafu wewe unayejiita muislamu ukapinga njia hizo, kama wewe ni muislamu basi ni muislamu jina.
waislam wana sali sala tano kwa siku muhimu kuwa na msikiti popote pale wakristo mnasali jumapili mpaka jumapili
Sent from my iPhone using JamiiForums
Haya endelea kudhani.kafiri mkubwa wewe
Waislam hatutaki.ni lazima watu wetu wapate sehemu ya kutekeleza ibada zao.sijapanikimbona unapaniki kirahisi sana. Jamaa alikuwa anakuchokoza kusudi...sasa ukimwita kafiri unakuwa umemtukana? Umeniacha hoi sana.
Naam, hili suala na la Assad ndiyo yatabainisha nani mnafik na nani mcha-Mungu.Hili suala yapaswa Bakwata iingilie kati,lakini cha kushangaza bakwata watakaa kimya kwenye suala kama hili linalowasibu waislam.
Na hapo ndipo waislam wanapoidharau bakwata
FaizaFoxy
THE BIG SHOW
Ritz
Uswali mara tano?😳😳 kwa siku? hapo upo college au upo madrasa ustaadh?
Mbona hta ukristo pia sio dini au umesahau....ni kikundi cha wabakaji na walawitiaji makanisani
Sent using Jamii Forums mobile app
Is not about adhan au society inapokeaje hili suala. Ila muache kujiona kuwa ni special sana na kwamba nyie ndio wenye mahitaj mubim kuliko wengine. Mbona wengine hawapig kelele miaka yote hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana msikiti unatakiwa uwe karibu ili jambo hilo lifanyike kirahisi bila kuathiri shughuli zingine na hapo ndipo utakapoona kwanini waislamu tunahitaji huo msikiti, hapo si suala la udini kama wengine wanavyodhani ni hitaji kuu la kidini---- Swala, ni tiketi namba moja ya kumuingiza mtu peponi na mengine hufuatia.
HahahahahahaMimi ni Muislamu wa ukweli tu, lakini siamini kwamba Mwislamu ndiyo mtu bora kumshinda binadamu mwingine. Waislamu tunaamini kwamba sisi ndiyo tunastahili kila lililo jems kushinda wanavyostahili makafiri.