Naona watu wamekuja na povu la 4G kudadadeki
Tatizo kubwa tulilonalo waislamu ni kupenda favour. Tunapenda kubebwa na kudhani kwamba tuna haki zaidi kuliko dini nyingine. Wakristo wa hspo UDOM wanasali wapi? Kwanini wao hawakulazimisha kujenga makanisa? Iweje waislamu tujione tuna hski zaidi kushinda wenzetu? Sitamlaumu Mbofu kwa maamuzi yake ya kusimamisha ujenzi wa Msikiti hapo chuoni. Na ninampongeza Msoffe kwa kuamua kuuvunja kabisa.
Yeyote ataekuwa madarakani na kutunyima haki yetu ya kuabudu na kutimiza nguzo za Uislam huyo hatopata kura za Waislam wanaojielewa.Yaani hapa msimamo wako ni kuiitoa ccm madarakani au ?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Laana ingekuwa inapataga binadamu kwa matakwa ya binadamu tu yaani sijui inhekuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua walichokuwa wakifanya? Je watu wote wa dini moja kukaa sehemu moja huoni ajira ya upendeleo?Ninaposoma comments za uzi huu ndio ninazidi kuamini tatizo la udini ni kubwa zaidi kuliko tunavyofikiri. Kwangu mimi suala la msikiti ni dogo sana, ila kama ni kweli watumishi kumi na moja wote wa dini moja wamehamishwa tena kwa wakati mmoja hapo kuna tatizo kubwa zaidi. Kristo alitufundisha kuwatendea watu wote kwa usawa, tena visasi ni mwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wajenge klabu ya pombe na wanafunzi kuziniana na Kfirana, maana nyumba za ibada kuwafundisha vijana kuwa na maadili wanazivunja.Baba ulishabomolewa na kifusi kimesombwa wanajenga vyoo hapo
Naweka hoja na Matusi Kukazia, Niambie Kabla ya Karne ya 6 uislamu ulikwa wapi!
Ninaposoma comments za uzi huu ndio ninazidi kuamini tatizo la udini ni kubwa zaidi kuliko tunavyofikiri. Kwangu mimi suala la msikiti ni dogo sana, ila kama ni kweli watumishi kumi na moja wote wa dini moja wamehamishwa tena kwa wakati mmoja hapo kuna tatizo kubwa zaidi. Kristo alitufundisha kuwatendea watu wote kwa usawa, tena visasi ni mwiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu sivyo unavyomfikiria ww na ndo maana nkasema laana ingekuwa inapata mtu kwa matakwa ya binadamu dunia isingekuwa salama mpaka sasa maana tunalaani sana kuliko kubariki kabla hujanyooshea mwenzio kidole angalia ww umefanya nn ili huyo mtu asifike hatua hiyo, unafikiri tukihitaji kujenga nyumba za ibada kila dini au dhehebu pale Udom itakuwa taasisi ya elimu? Au itakuwa inatoa elimu ya kidiniLaana anapata mtu kwa kumkufuru Mungu, binadamu kazi yake ni kutoa tahadhari tu, mtu anavunja nyumba ya Ibada unataraji nini??, au Mungu ni mjomba wake!!?
Hakunankitu kinachitwa "moro Islamic University".Kurhani mkasomee msikitini syo vyuoni au mkasomee moro islamic university ile ya vilaza
So!1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Najua anaweza kufanya hivyo lakini naamini Mungu hawezi kuamrishwa na binadamu kama mmUnadhani Mungu ni mjomba wako?!, uwe na adabu, anaweza kulitia hilo ".domo" lako kufuli na usiongee tena hadi kufa kwako.
Kumbuka ni yeye aliyekuumba pamoja na hilo "domo" unalolitumia kumkejeli.
"albadili" ndiyo nini?Kama kuna makosa makubwa ambayo waislamu wa UDOM mmeyafanya, basi ni ile albadili mliyomsomea Prof Mubofu ili afe, na akafa kweli. Nawahakikishieni maisha ya Mubofu mtayalipia kwa damu na jasho. Hizi ni rasharasha tu, bado mvua yenyewe. Si tu mtaikumbuka ile Albadili, bali mtaijutia.
Weka link ya swali lako au ulikuja kwa id tofauti?So!
Your point is.......
Jana tu nimetoka kukukanya,ktk hiko ulichokikariri hapo wewe pia kwenye dini yako hukiepuki,nasubiri unijibu nione tena kama jibu lako linafananaje!
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kwani vyuo vikuu na shule zote zina makanisa na misikiti?Hayachanganyi, isipokuwa ni chuki binafsi za watu ndizo zinazofanya mambo ya dini yaonekane hivyo.
Hivi kujenga nyumba za Ibada za dini zote katika Udom ni dhambi au shida au kero au???, kwa kusudi la watu wamuabudu Mungu. Mahali popote asipotakiwa Mungu basi mahali hapo Shetani atatawala na kutamalaki.
Tatizo lenu hua mnaleta ubaguzi wa hovyo sana, kujitenga na kutengeneza ka_ uadui ka kijinga. Mimi naunga mkono kubomoa na ningekua karibu hapo ningeshiriki zoezi kikamilifu kabisa. Mkitaka kuswali nendeni sijui mnapaita Makulu au mjini. Shenzy kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app