Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,197
- 4,120
Kama ungekuwa na uongozi ngazi za juu, ungekuwa au kuja na mpango au mbinu gani ya kuikuza Tanzania kiuchumi bila kumtwisha mzigo wa kodi au makato mengine mwananchi?
Kumekuwa na mijadala mbalimbali kuhusu mzigo wa kodi au tozo kwa wananchi, huku watu hao wakiwa na hoja ya Tanzania ni nchi iliyobarikiwa rasilimali nyingi sana hiyo zikitumiwa vizuri nchi itakuwa kiuchumi maradufu huku wananchi wakipunguziwa mzigo wa tozo na kodi ambazo zinaonekana kuwaelemea.
Katika kuzingatia hoja hizo ungekuwa wewe una nafasi ya kufanya maamuzi ungefanya jambo gani, mbinu gani au mipango gani ili kutumia rasilimali na fursa zilizopo kuzalisha ili kuongeza pato la Taifa na hivyo Tanzania iweze kupaa kuichumi na wananchi tupate maisha yale ambayo wengi tunayatamani kwa angalau thamani ya fedha yetu iweze kupaa juu.
Kumekuwa na mijadala mbalimbali kuhusu mzigo wa kodi au tozo kwa wananchi, huku watu hao wakiwa na hoja ya Tanzania ni nchi iliyobarikiwa rasilimali nyingi sana hiyo zikitumiwa vizuri nchi itakuwa kiuchumi maradufu huku wananchi wakipunguziwa mzigo wa tozo na kodi ambazo zinaonekana kuwaelemea.
Katika kuzingatia hoja hizo ungekuwa wewe una nafasi ya kufanya maamuzi ungefanya jambo gani, mbinu gani au mipango gani ili kutumia rasilimali na fursa zilizopo kuzalisha ili kuongeza pato la Taifa na hivyo Tanzania iweze kupaa kuichumi na wananchi tupate maisha yale ambayo wengi tunayatamani kwa angalau thamani ya fedha yetu iweze kupaa juu.