Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,968
- 6,134
Kwa jinsi mambo yanavyoenda huko serikalini na chamani unaweza ukashangaa muda wowote kuanzia sasa Paul Makonda akateuliwa aidha serikalini au chamani.
Kwahyo hata ikitokea msishtuke na kushangaa na mambo ya kawaida katika siasa.
=====
UPDATE:
Machi 31, 2024: Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri
Oktoba 22, 2023: Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi
Julai 8, 2023 (tetesi): Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!
Kwahyo hata ikitokea msishtuke na kushangaa na mambo ya kawaida katika siasa.
=====
UPDATE:
Machi 31, 2024: Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri
Oktoba 22, 2023: Paul Makonda ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi
Julai 8, 2023 (tetesi): Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM!