Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,744
- 7,098
Leo sina mambo mengi kabisa yaan,,ni hivi wakati muhimu kabisa wa kujua siri za mzungumzaji upande wa pili wa simu ni pale mnapomaliza mazungumzo na kukata simu.
Yaan mda huo kama utaagana na mtu kwenye simu basi kawia kidogo usikate simu mapema yaan hapo utasikia kitu fulani ambacho hujategemea,,,kama ni mwanamke ndio yupo upande wa pili wa simu na yupo na wenzake utasikia " huyu bwege anajifanya ananipenda lkn mbakhiri kweli" au "angejua anavyo niboa na simu zake yaan basi tu"
Kama ndio mwanaume yupo upande wa pili wa simu na ukakawia kukata simu mapema utasikia " huyu malaya ananiona mimi kama ATM" au " huyu demu hivi ananichukuliaje hela zangu anazipenda ila mzigo hatoi"
Ninachotaka kusema hapa,kama wewe ni msema hovyo baada ya mazungumzo ya simu basi usiongee chochote mpaka uhakikishe simu imekatwa ndio ubwabwaje la sivyo utachafua hali ya hewa.
Na
Kama wewe unataka kusikia mazungumzo muhimu baada ya habari,,basi usikate simu mapema huenda ukasikia yatakayo kushangaza.
Huwa nikimuona mtu baada ya mazungumzo hakati simu huwa sipendi ujinga naamua kuikata chap,,,sio kwamba huwa naongea baada ya kukata simu laa ila najua huyu ni mmbea anataka kusikia lolote kutoka kwangu
Ni hayo tu!
Yaan mda huo kama utaagana na mtu kwenye simu basi kawia kidogo usikate simu mapema yaan hapo utasikia kitu fulani ambacho hujategemea,,,kama ni mwanamke ndio yupo upande wa pili wa simu na yupo na wenzake utasikia " huyu bwege anajifanya ananipenda lkn mbakhiri kweli" au "angejua anavyo niboa na simu zake yaan basi tu"
Kama ndio mwanaume yupo upande wa pili wa simu na ukakawia kukata simu mapema utasikia " huyu malaya ananiona mimi kama ATM" au " huyu demu hivi ananichukuliaje hela zangu anazipenda ila mzigo hatoi"
Ninachotaka kusema hapa,kama wewe ni msema hovyo baada ya mazungumzo ya simu basi usiongee chochote mpaka uhakikishe simu imekatwa ndio ubwabwaje la sivyo utachafua hali ya hewa.
Na
Kama wewe unataka kusikia mazungumzo muhimu baada ya habari,,basi usikate simu mapema huenda ukasikia yatakayo kushangaza.
Huwa nikimuona mtu baada ya mazungumzo hakati simu huwa sipendi ujinga naamua kuikata chap,,,sio kwamba huwa naongea baada ya kukata simu laa ila najua huyu ni mmbea anataka kusikia lolote kutoka kwangu
Ni hayo tu!