Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 757
Kampuni kongwe ya magame ulimwenguni Rockstar Games imesema Muda sio mrefu wataanza kutoa matangazo mbalimbali kuhusu game mpya ya Gta 6 ambayo inaitwa Grand theft Auto Franchise desemba hii.
Game itaitwa Gta VI ambayo kwa mara ya Kwanza muhusika mkuu atakua mwanamke ataweza kuhusika kwenye missions mbalimbali za Miami tunaweza sema ni kama Ile game ya Gta Vice City iliyotoka mwaka 2002.
Game hii rasmi itaachiwa mwakani 2024 japo Toka mwaka 2014 ilianza kutengenezwa na kukamilika mwanzoni mwa mwaka 2023, itakua mrithi wa Gta V ambayo ilitoka mwaka 2013 iliweza kupata faida kubwa zaidi ya nakala million 185 ziliuzwa.
View attachment 2809099
๐๐๐ฎ ๐๐ณ๐๐ฝ๐ถ ๐๐ ๐๐๐ต๐๐๐ ๐๐๐ฎ ๐ฒ
- muhusika mkuu mwanamke anaitwq latina ambaye atahusika kwenye wizi wa benki mwanzoni game inapoanza akiwa na watu wengine ambao Bonnie na Clyde.
- ni game ambayo kama ilivyo Vice city lakini hoi Iko na ubora wa Hali ya juu ikiwa na maeneo mapya ila eneo kubwa ni Miami kumbuka vice uliyokua unacheza ni miaka 1986.
- kutakua na mission mpya mbalimbali zenye kusisimua, cheats maujanja nk.
View attachment 2809098