bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,370
- 24,673
Freemason Huwa wanajua kifuatacho mbeleni
Ila hili la watu aliowaamini kumshauri mama vibaya nami na lihisi sana.Hata sasa mie ukiacha utabiri huo nilitaka kuandika humu kumu caution Mh Samia Suluhu Hassan kuwa makini, hii suala la DP w linaweza kuwa makusudi wameanua kumpoteza kabla ya Uchaguzi wa 2025. Hasa watu wa chama chake wanaoutaka Urais
mnataka kusema genge la wataka urais wamemuingiza kingi ili akosee na chama chake kione amevunja katiba? Sasa mbona hao wasaidizi wake ni watu wake wa karibu, ina maana wanamshauri upupu akosee?Hata sasa mie ukiacha utabiri huo nilitaka kuandika humu kumu caution Mh Samia Suluhu Hassan kuwa makini, hii suala la DP w linaweza kuwa makusudi wameanua kumpoteza kabla ya Uchaguzi wa 2025. Hasa watu wa chama chake wanaoutaka Urais
Kwa kuwa ni muislam anafanya lolote hata kuuza raslimali za nchi wewe kwako ni sawa tuu.Tabiri za kishetani dhidi ya muislamu hazina nguvu.
اللَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ الْحَيُّ الْقَيُّومُ ۚ لَا تَأْخُذُهُ سِنَةٌ وَلَا نَوْمٌ ۚ لَّهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۗ مَن ذَا الَّذِي يَشْفَعُ عِندَهُ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ يَعْلَمُ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ ۖ وَلَا يُحِيطُونَ بِشَيْءٍ مِّنْ عِلْمِهِ إِلَّا بِمَا شَاءَ ۚ وَسِعَ كُرْسِيُّهُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۖ وَلَا يَئُودُهُ حِفْظُهُمَا ۚ وَهُوَ الْعَلِيُّ الْعَظِيمُ
(AL - BAQARA - 255)
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
Mwaka 2021, Mchungaji Ian Ndlovu kutoka Zimbabwe alisema kuwa Roho wa Mungu amemwambia kuwa awaambie kuhusu Raisi mwanamke kutoka Afrika Mashariki.
Aliambiwa kuwa, wote wanaompenda Raisi huyu mwanamke wanapaswa wamwombee sana maana aliona atapitia matukio mawili huko miaka ya mbele ambapo atafanya makosa mawili kutokana na kupewa ushauri mbaya na watu wake anaowaamini waliopo kwenye uongozi wake.
Akifanya makosa mawili hasahasa kosa la pili katika tukio la pili, kutatokea na Upinzani mkubwa ndani ya chama chake na pia Upinzani utatoka nje kwake ambao itasababisha madhara katika safari yake ya uongozi mtukuka.
Atakayetaka kufuatilia ujumbe huu anaweza kumsikiliza hapa kwenye link nitakayotuma hapa.
Mimi simjui huyu Rais mwanamke mpaka sasa.
Link:
Bro wana siasa wanaua kupata madaraka itakuwa kumuingiza chaka?mnataka kusema genge la wataka urais wamemuingiza kingi ili akosee na chama chake kione amevunja katiba? Sasa mbona hao wasaidizi wake ni watu wake wa karibu, ina maana wanamshauri upupu akosee?
5mb only. It is true.Mchawi bando
Aliyeiangalia anihadithie alichosema mtumish
Usimjibu... Mungu wetu hatetewi.. anamaamuzi, anauwezo, ni hakimu wa kweli na haki.Kivipi? Nyie mnaahadi mabikira 70 na mito ya pombe hapo kuna Mungu wa kweli au ndo shetani mwenyewe! Mlivo mazuzu mnaamini kabisa Muhammad ni mtume wa Mungu wa kweli! Wakati alipotokewa na jitu mapangoni hata yeye alikuwa hajitambui katokewa na nani mpaka alipokuja kwa mkewe kibibi Khadja ndo kikamwambia! Pia alipigwa makofi pangoni maana alikuwa haelewi maelekezo ya Shetani!
Nasema hiviii,utabiri wa kishetani hauna nguvu kwa muislamu.So sikuhizi Mungu wa Wakristo na Waislamu ni tofauti?
Sikujua hilo mkuu
Ujumbe katika huo unabii ni "rais mwanamke atakuja kufanya makosa mawili ambayo ambayo yatazua upinzani mkali ndani ya chama chake na nje"Magufuli alifariki March 17, 2021 Muda ambao SSH aliingia madarakani na ndo Rais pekee Afrika Mashariki. Hapo hakuna kitu! Angetabiri kabla hajaingia madarakani angekuwa na mashiko kwasababu unabii wake kautoa August 2021 wakati tiyari yuko madarakani
WigeheKurudisha Imani Kwa Watanzania ndo basi tena.
Huyu Jidu La Mabambasi alikuwa likizo?View attachment 2672374
Utabiri huu nataka kuamini na ninasita.
Huu utabiri ulisemwa mwanzoni mwa mwaka 2023, huko Kusini mwa Afrika.
Lakini katika yote tumwombee mama na tuliombee Taifa.
Tuombee taifaView attachment 2672374
Utabiri huu nataka kuamini na ninasita.
Huu utabiri ulisemwa mwanzoni mwa mwaka 2023, huko Kusini mwa Afrika.
Lakini katika yote tumwombee mama na tuliombee Taifa.
Muombee wewe na familia yakoView attachment 2672374
Utabiri huu nataka kuamini na ninasita.
Huu utabiri ulisemwa mwanzoni mwa mwaka 2023, huko Kusini mwa Afrika.
Lakini katika yote tumwombee mama na tuliombee Taifa.
Ujinga tu huu.View attachment 2672374
Utabiri huu nataka kuamini na ninasita.
Huu utabiri ulisemwa mwanzoni mwa mwaka 2023, huko Kusini mwa Afrika.
Lakini katika yote tumwombee mama na tuliombee Taifa.