Umeme ushakatika maeneo mengi muda huu, ulipo upo?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,079
18,135
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
 
Jee ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick and their disgust reason....
Umekatika DK 20 zilizopita
 
Jee ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Umeme umekata nikiwa kwenye situation flan hivi
 
Ni rasmi sasa huu ni mgao, jana nilidhani labda ni hitilafu ila leo wamerudia tena kwenye mida ya saa tisa kasoro.

Location : Mbeya
 
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Utasikia Magufuli alitumia mitambo bila ukarabati hivyo mitambo imechoka.
 
wameanza jana huu mgao, ikifika saa nane kuelekea saa tisa wanakata

Location : Mbeya
Giza ni Nene Mvua inyeshe kidogo tupate USINGIZI maana mbu wanapiga Doria HATARI ni mwendo wa patrol ya Mwili wanatembelea mpaka kisigino
 
Back
Top Bottom