Ukweli ni upi kuhusu Oscar Kambona?

Kumbe
Kuna kitu kingine pia. Kabla hajahamia London, na labda baada ya uhusiano na mwalimu kuanza kuyumba, Kambona alimwambia mwalimu kuwa hali yake ya afya haikuwa nzuri.

Mwalimu alimwelekeza Kambona kwenda kutibiwa uholanzi ambako kulikuwa na daktari aliyekuwa rafiki yake mwalimu. Kambona alikaa uholanzi kwa matibabu kwa zaidi ya mwezi. Aliporudi nyumbani, kwa mashangao wa mwalimu, Kambona alijiuzulu uwaziri na ukatibu mkuu wa TANU.

Ingawa alitaja sababu za kiafya kama sababu za kujiuzulu kwake, bado hazikumconvice mwalimu hivyo ukapangwa mpango wa kumkamata. Sijui ni vipi aligundua mapema na hivyo kuponyoka mapema hadi Nairobi alikopandia ndege kwenda London. Inawezekana pia kuwa hakuridhika na nafasi aliyokuwa nayo. Wakati anaondoka kwenda kwenye matibabu alikuwa waziri wa maendeleo vijijini baada ya azimio la Arusha.

Inawezekana pia kuwa uhamisho wa kumpeleka kwenye wizara hiyo ilikuwa kumkomoa.
Hayati Kambona alikuwa mtu sahihi kwa wakati husika ingawa hakutafsiriwa vizuri na Washirika wa kipindi hiko.
 
Asingethubutu. Ni sawa na kumwambia Makonda leo aandike kitabu.
Kambona alifia nje ya nchi, angeweza kuandika.
Pia unaweza kuandika kitabu ukamuachia publisher na ukaweka kwenye wosia kwamba kichapishwe na kusambazwa pindi tu utakapofariki.
 
Kambona alifia nje ya nchi, angeweza kuandika.
Pia unaweza kuandika kitabu ukamuachia publisher na ukaweka kwenye wosia kwamba kichapishwe na kusambazwa pindi tu utakapofariki.
Sijasema kuna mtu aliyemzuia kuandika kitabu, madhambi yake ndio yalimzuia akihofia kuanikwa.

Ndiyo maana nikasema ni sawa na kumwambia makonda aandike kitabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom