Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 27,280
- 71,087
Hata zaidi inawezekana.Inategemeana kati ya ntu na ntu, unaweza stahimili miezi mitatu baada ya hapo yatakushinda tu
Hata zaidi inawezekana.Inategemeana kati ya ntu na ntu, unaweza stahimili miezi mitatu baada ya hapo yatakushinda tu
Nakusalimia mla malaya mbobezi 👋Hutakiwi kuwa na mwanamke kabisa, tafuta chaka lako la malaya utafute yule mwenye afadhali then uwe unajipigia hata mara moja kwa wiki.
Huyo usibishane naye si umeona avatar yake inajieleza 😂😂😂Malaya hana usalama kwa afya yako baba yako angeendekeza malaya wewe usingekuwepo duniani kaa tulia na mtu mmoja mwaminifu asie na tamaa
😜 mmeanza uongo sasaInawezekana sana ni kujiendekeza tu, kuishi bila sex kwa muda inawezekana.
Baharesa huwezi jifananisha nae alafu yule kipindi anajitafuta lazima alikuwa na nidham ya pesa na hata wanawake kaowa sio kuishi na malaya na jamaa kaowa kulingana na utajiri wake , sasa wewe una mshahara wa laki mbili wanawake 3 , unategemea niniUjumbee huu angeletaa Bakheresa kidogo ningeuamin maana jamaaa Ana wake wengi sana na bado richman
Ww toka unazaliwa hujawahi kuwa na mwanamke kirikuu, sasa hiyo kujifanya unawaonaje ni kutaka kujaza seva ili comment yako iwepo 🤣Nafikiri ndicho nachokipitia sasa 😃😃😃sijui nawaonaje
Una utelezi kirikuu?? 😜Kaka kikubwa uterezi apa
Hapana mm sio wa hvy, ila nimetoa tuu ushauri ili kulinda kibunda chake.Nakusalimia mla malaya mbobezi 👋
Sasa zingatia hapo kwenye vijikasumba vidogo vidogoVijana acha umalaya kuishi bila sex inawezekana japo kuna vijikasumba vidogo vidogo lakini inawezekana
Kunatofauti kubwa sana ya kuwa na hela na kuwa financial stable Sasa kama huwezi nunua Malaya wa 20k unaona ili iwaje?Hata hao malaya ukiwa huna hela utawapata wapi maana pesa inapoingia kwa wingi ndio wanawake wanakuja hakuna malaya wa bure
Kwender wakati unakazia na machimbo yote unayajua shenzy weee 🤣🤣🤣🤣🤣Hapana mm sio wa hvy, ila nimetoa tuu ushauri ili kulinda kibunda chake.
Ujue mm n role model kanisani kwetuKwender wakati unakazia na machimbo yote unayajua shenzy weee 🤣🤣🤣🤣🤣
Kanisa lipi hilo? 😂😂😂😂Ujue mm n role model kanisani kwetu
Hutakiwi kuwa na mwanamke kabisa, tafuta chaka lako la malaya utafute yule mwenye afadhali then uwe unajipigia hata mara moja kwa wiki.