HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
CAF katika kikao walichokaa jana mjini Rabat, Morocco wameamua kuanzia msimu huu wa 2023/2024 na kuendelea zile timu 16 ambazo huwa zimetolewa katika hatua ya timu 32 katika ligi ya mabingwa wa Africa hazitapata fursa tena ya kuingia katika hatua ya mtoano (Play-Off) ya kupambana na 16 bora za shirikisho.
Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.
Hivyo 16 bora za shirikisho zitaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Naiona AZAM FC ikinufaika na uamuzi huu, ina nafasi kubwa ya kuingia makundi shirikisho, hata Singida Foundation Gate.