Ujumbe kwa Dkt. Nchimbi - Cheo chako Hukitendei haki

JF Member

JF-Expert Member
Dec 14, 2014
7,509
9,882
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
 
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/ kupumguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa ccm wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Kweli amepwaya mno tena sana. Tokea aanze kuzunguka hajaonyesha kuwa anajua siasa bali bingwa wa nahau na maneno ya kejeli. Watanzania wa leo ni waelewa tafadhali jipange upya. Bila kupepesa macho rudisheni Bashiru
 
Kweli amepwaya mno tena sana. Tokea aanze kuzunguka hajaonyesha kuwa anajua siasa bali bingwa wa nahau na maneno ya kejeli. Watanzania wa leo ni waelewa tafadhali jipange upya. Bila kupepesa macho rudisheni Bashiru
Mnataka afanye maigizo? Mnataka misafara ya Toyo, punda na mikokoteni? acheni ujinga.

Yaani wabongo tunapenda sana maigizo, uhalisia hatutaki tunataka maigizo na usanii
 
Mnataka afanye maigizo? Mnataka misafara ya Toyo, punda na mikokoteni? acheni ujinga.

Yaani wabongo tunapenda sana maigizo, uhalisia hatutaki tunataka maigizo na usanii
Pengine hujui siasa wewe CHAWA. Mwambie Nchimbi aendelee na mwendo huo huo tu baadaye mapema 2025 urudi kumshutumu!!!

Tatizo unalijua lakini unasumbuliwa tu na chuki dhidi ya Makonda
 
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/ kupumguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa ccm wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Zama zao zime
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/ kupumguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa ccm wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Chama wapewe vijana,hao akina Nchimbi zama zoa zimeisha!
 
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Crap
 
Mnamtaka yule anayepiga picha na vikongwe 😂😂,
Tatizo vijana wengi wapya ccm hawajui hata asılı ya ccm

Wanadhani drama, ushabiki na kelele ndio siasa

Hivi ndani ya ccm hakuna mafunzo ili vijana wajifunze ccm ile yenye hatamu?
 
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Bado hamjasemaa, mtasema tu mtasemaaa
 
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Mnamtaka bashite na mazingaombwe yake!

Watanzania ni watu wa bei rahisi sana aisee! Ni kama wanawake, hupenda zaidi kudanganywa na kuigiziwa kuliko kuambiwa ukweli na uhalisia
 
Kwa hali ilivyo upinzani wakijipanga vizuri wanaweza wakasumbua ,shida nako ndo vile
 
Wee
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.

Ila kuna sehemu unakwama.

Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja kwenye mikutano yako ni viongozi wa CCM wa wanafunzi wanaolipwa posho. Mwananchi wa kawaida hawaoni kabisa umuhimu wa kuzunguka kwako kote huko.

Hadi sasa nafasi ya kuwa RAIS kama ulivyo kuwa unasemwa zamani imepotea kabisa. Nyota yako imezima kabisa.

Anyways - bado unanafasi ya kuwatetea wananchi wako, ila hadi ujue siasa.
Wewe hujui kazi za katibu mkuu wewe. Aliyekwambia kazi zake ni kucheza sarakasi mtaani ni nani?
 
Back
Top Bottom